Yanga tumekosa nini?

Yanga tumekosa nini?

Rejea uzi wa jana usiku hapa kuhusu kupendelewa mnyama na yanga kufanyiwa hujuma za wazi na uonevu,
Sasa mliokua mnapinga nadhani mmeona yaliyotokea mchezo wa leo dhidi ya polisi.na kile ndio nilichokimaanisha na kimetokea.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Ni bahati mbaya Sana waamuzi wanapewa maelekezo kuizuia yanga yenye ubora kila eneo, ingekuwa ni yanga ya wakina yikpe na molinga wangekuwa wanafanikiwa lakini wanakwama kutokana na yanga ya wakina Aziz ki, wanapambana kuiferisha lakini mwisho wa siku wanaangukia pua na aibu juu
 
Atalalamika vp ikiwa ni mnufaika wa uonezi

Anapo kandamizwa yanga ni nafuu kwa nyau alafu Bado wataka sema nyau alalamike tena
Hilo jina la nyau zuri sisi kama Simba wa kimataifa tumelipokea bila shida yoyote.
 
Simba wanasifa zifuatavyoo.
1. Sio timu ya wananchi ni timu ya Afrika nzima
2. Pili hadi manara kachanganyikiwa alipokwenda Yanga anatukana tukana
tu
3. Simba tunawaza ligi za ulaya nyie za utani wajadi hebu kuweni na akili yule mirrison ni fala kwa akili kama zake hata hajui kama ni mwanaume rijali yule ni mbwa .
Nanishoga tu hajitambui.
Nakachukiaga kahanisi. Yupo tu kama manara wote machizi tu.
Wamefetuka akili siku mingi.
Yanga ifikie muda mukue
Huyo morrison anafaa kuwa huko kwa wanaopenda kuonekana wameonewa
 
Simba wanasifa zifuatavyoo.
1. Sio timu ya wananchi ni timu ya Afrika nzima
2. Pili hadi manara kachanganyikiwa alipokwenda Yanga anatukana tukana
tu
3. Simba tunawaza ligi za ulaya nyie za utani wajadi hebu kuweni na akili yule mirrison ni fala kwa akili kama zake hata hajui kama ni mwanaume rijali yule ni mbwa .
Nanishoga tu hajitambui.
Nakachukiaga kahanisi. Yupo tu kama manara wote machizi tu.
Wamefetuka akili siku mingi.
Yanga ifikie muda mukue
Simba hii hii wanaolalamika Twitter kuwa walirogwa kwenye mechi yao na Yanga wakati wanajua kabisa tatizo ni kukosa mbinu, Simba hii hii inayolalamika kuwa kwenye mechi yao na Yanga refa aliwabeba Yanga! Simba hii hii baada ya kukosa Ngao ya Hisani mara mbili mfululizo mbele ya Yanga, wamemshawishi yule"msomali" Karia abadili mfumo wa mashindano wakifiri watapata nafuu!
 
Simba wanasifa zifuatavyoo.
1. Sio timu ya wananchi ni timu ya Afrika nzima
2. Pili hadi manara kachanganyikiwa alipokwenda Yanga anatukana tukana
tu
3. Simba tunawaza ligi za ulaya nyie za utani wajadi hebu kuweni na akili yule mirrison ni fala kwa akili kama zake hata hajui kama ni mwanaume rijali yule ni mbwa .
Nanishoga tu hajitambui.
Nakachukiaga kahanisi. Yupo tu kama manara wote machizi tu.
Wamefetuka akili siku mingi.
Yanga ifikie muda mukue
Haaaaaa sikuwahi kufikiri YANGA, MANARA NA MORISSON inaweza kuwakera watu kwa kiwango mpaka mtu anakuwa kana chizi, Yanga shukilia hapohapo
 
Topolo moja hapa linasema eti Karia alisababisha Mayele akakosa penalty.

Halafu linasema lile goli la Polisi likikuwa la kuotea.
 
Simba wanasifa zifuatavyoo.
1. Sio timu ya wananchi ni timu ya Afrika nzima
2. Pili hadi manara kachanganyikiwa alipokwenda Yanga anatukana tukana
tu
3. Simba tunawaza ligi za ulaya nyie za utani wajadi hebu kuweni na akili yule mirrison ni fala kwa akili kama zake hata hajui kama ni mwanaume rijali yule ni mbwa .
Nanishoga tu hajitambui.
Nakachukiaga kahanisi. Yupo tu kama manara wote machizi tu.
Wamefetuka akili siku mingi.
Yanga ifikie muda mukue
Hayo maneno naona unajifariji tu uwezo wa morisson kila mtu anaujua...Kwenye derby faulo aliofanyiwa na kipa ilipaswa kuwa tuta refa akapotezea
Jana katoa assist goli la pili sasa hizi chuki za nini?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Sasa ingekua simba haraka sana angeweka tuta

Wamembeba Mpole ili Mayele akose kiatu...

Sasa Mpole game 2 za taifa Chan ameshindwa kutikisa nyavu akapelekwa benchi game zote mbili na wasomali....Mpole huyu huyu aliyekua akitupia kila mechi!

Jamani Mayele ni Mayele tu ..yaaani sijui kwanini hawapendi kumuona akifunga

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Inamuumiza karia
 
Hayo maneno naona unajifariji tu uwezo wa morisson kila mtu anaujua...Kwenye derby faulo aliofanyiwa na kipa ilipaswa kuwa tuta refa akapotezea
Jana katoa assist goli la pili sasa hizi chuki za nini?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Morrison ni tahira kama huyu cheupe dawa wenu wanatanga tanga mpaka yupo saivi kwenye matangazo ya mikopo yaani yanga hawajielewi tokea uongozi hadi washangiliaji .

Sisi simba damu inaonyesha tupo ngangari tunapeta wewe haupo ngangari wababa watu wazima na wajukuu mnabebana uwanjani mmevaa rangi ya mimea.
Mtajua hamjui mpaka mkadoublize mshahara mnono kwa tahira wenu morrison arudi sijui mayele akiotea goli la bahati dah ni shughuli. Halafu hivi mayele ni mvutaji bangi kwa maana akiotea goli anatetemeka nyie mnasema anatetema ni tofauti hii ni dalili ya bangi
 
Morrison ni tahira kama huyu cheupe dawa wenu wanatanga tanga mpaka yupo saivi kwenye matangazo ya mikopo yaani yanga hawajielewi tokea uongozi hadi washangiliaji .

Sisi simba damu inaonyesha tupo ngangari tunapeta wewe haupo ngangari wababa watu wazima na wajukuu mnabebana uwanjani mmevaa rangi ya mimea.
Mtajua hamjui mpaka mkadoublize mshahara mnono kwa tahira wenu morrison arudi sijui mayele akiotea goli la bahati dah ni shughuli. Halafu hivi mayele ni mvutaji bangi kwa maana akiotea goli anatetemeka nyie mnasema anatetema ni tofauti hii ni dalili ya bangi

Hayo matusi ni kwa sababu AMETOKA SIMBA au??
 
Yanga kwa kulalamika wanashika namba moja Africa na hapo wameifunga simba na kuchukua makombe,
Yanga isikataliwe goli la offside
Yanga wasiadhibiwe wakifanya fouls
Yanga wasipewe kadi hata mchezaji mmoja

Ina maana hakuna mechi yanga iliyopendelewa kwa kupewa goli na mwamuzi au mnajitoa ufahamu yaani mlitaka mpaka kwenda ikulu hapo mshajijengea akilini mkikosa ubingwa mumlaumu karia na tff yake anawaonea.
Utopolo wote ni hamnazo, kasoro mtu 2 tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Malalamiko FC.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom