Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Percy na mayele nani unatamani uwe nae kwenye kikosi chako?Washndwe kukamiwa akina perc tau aje kukamiwa eti max,,,kwani tanga hao si walikuwepo walifanya nin zaidi ya kuzungusha shanga uwanjani
Threat kwa wachovu wenzake muulize game mbili za mwisho dhidi ya simba alikuwa anafanya nn?AZIZ KI ni threat sana kwa SIMBA
Na hata yeye alkutia viwili ukiwa kwakoKwa mkapa ilikuwa 2 kwa 1 na kwao akala 1 jumla ikawa 2 kwa 2 na hakuna rekodi inayopendeza kama kumtia mwarabu kwao
Na mimi nikamtia kimoja hivi tangu uzaliwe mwaka 2004 umewahi kumuona simba kamfunga mwarabu kwao?Na hata yeye alkutia viwili ukiwa kwako
Yaani timu kama Simba ikamie vichezaji vya kuunga unga kwa lipi wanaloweza kufanya dhidi ya Simba ScAzam walimkamia MAX na PACOME hawakujua muuaji ni mdunguaji AZIZ KI kilichowakuta mnakijua, juzi mlivyocheza na ihefu jasusi GAMOND na benchi lake la ufundi walikuwepo uwanjani kta mkapa.
Awamu hii ni mwendo wa kukamua tu triger ko mkae kwa kutulia. Uzi tayari.
Kwenye derby mambo yanakua tofauti sana sio kama mnavyoona yakitokea kwenye mechi nyingine kwa mfano Ally Salim alidaka mechi ya kwanza ya Derby yanga akiwa na striker hatari Africa Mayele alipiga shoot on target moja ya maana akiwa Tena nje ya 18 kama kumbukumbu Zangu zipo Sawa,mechi ya Tanga yanga pamoja na kumiliki mpira kwa kiasi kikubwa shoot on target ilikua moja au haizidi mbili mechi nzima...mechi ya derby wachezaji wanapandisha sana viwango ndomana Kuna mwaka alifunga zawadi Mauya,Nyoni n.k Chama pamoja na ubora wake mechi za derby yanga Hawampi nafasi ya kucheza akiwa katika ubora wake, maama yangu derby Kuna kukamiana sana ndomana mda mwingine wachezaji wasiotegemewa wanaamua mechi.Hizo set pieces na shot on target ni threat tosha kwa timu pinzani, waulize makipa wa ligikuu shughuli yake
I SECOND YOU CHIEFKwenye derby mambo yanakua tofauti sana sio kama mnavyoona yakitokea kwenye mechi nyingine kwa mfano Ally Salim alidaka mechi ya kwanza ya Derby yanga akiwa na striker hatari Africa Mayele alipiga shoot on target moja ya maana akiwa Tena nje ya 18 kama kumbukumbu Zangu zipo Sawa,mechi ya Tanga yanga pamoja na kumiliki mpira kwa kiasi kikubwa shoot on target ilikua moja au haizidi mbili mechi nzima...mechi ya derby wachezaji wanapandisha sana viwango ndomana Kuna mwaka alifunga zawadi Mauya,Nyoni n.k Chama pamoja na ubora wake mechi za derby yanga Hawampi nafasi ya kucheza akiwa katika ubora wake, maama yangu derby Kuna kukamiana sana ndomana mda mwingine wachezaji wasiotegemewa wanaamua mechi.
Mkafeli sanaaKwa Sasa Simba haogopi mchezaji au timu yoyote Afrika, tumetoka kucheza na bingwa wa Afrika hao wengine inabidi wao watuhofie.
Ana magoli 7 na assist 6.Ukiacha kupiga faulo na kupiga shuti kipi Azizi anasaidia kwa timu cha ziada kuanzia kutoa pass saidizi za magoli au kutengeneza nafasi?
UTAELEWA SIKU HIYOThreat kwa wachovu wenzake muulize game mbili za mwisho dhidi ya simba alikuwa anafanya nn?
Timu bora yenye medali, mlichukua ngao ya jamii na mlicheza AFL.Azam walimkamia MAX na PACOME hawakujua muuaji ni mdunguaji AZIZ KI kilichowakuta mnakijua, juzi mlivyocheza na ihefu jasusi GAMOND na benchi lake la ufundi walikuwepo uwanjani kta mkapa.
Awamu hii ni mwendo wa kukamua tu triger ko mkae kwa kutulia. Uzi tayari.
Nyie mliofaulu mmeishia wapiMkafeli sanaa
Tatizo sio kumfunga,,ukamfunga afu ikawaje,,mwenzeko ana target achukue kombe wew unafurahia kuwa loser ,,,sasa baada ya kumfunga mbona hamkuchukua kombeNa mimi nikamtia kimoja hivi tangu uzaliwe mwaka 2004 umewahi kumuona simba kamfunga mwarabu kwao?
Sawa acha mimi Kenge nikurekebishe ana goli 6 na assist 1Ana magoli 7 na assist 6.
Kenge wewe
Kwahiyo mafanikio ni kombe tu auTatizo sio kumfunga,,ukamfunga afu ikawaje,,mwenzeko ana target achukue kombe wew unafurahia kuwa loser ,,,sasa baada ya kumfunga mbona hamkuchukua kombe
Mzee swali gani hili sasa hujui mafanikio ya tim,,,nyie uto mafanikio yenu kwenye mpira huwa ni nn kuzungusha shanga uwanjan au🤣🤣Kwahiyo mafanikio ni kombe tu au
Usijichekeshe nijibu kwanza mafanikio ya club huwa ni yapi?Mzee swali gani hili sasa hujui mafanikio ya tim,,,nyie uto mafanikio yenu kwenye mpira huwa ni nn kuzungusha shanga uwanjan au🤣🤣
Na wew nijibu kwanza huwa mnashiriki michuano ili iwejeUsijichekeshe nijibu kwanza mafanikio ya club huwa ni yapi?
Hivi huyo Azizi Ki amekuja Yanga leo na hajawahi kucheza na Simba au? Yanga ilipofungwa na Simba 2-0 mechi ya pili msimu uliopita huyo Azizi Ki hakuwepo au? Wakati Simba inabeba ngao ya jamii mbele ya Yanga Azizi Ki hakuwepo au? Au umeamua tu kujitoa ufahamu? Tusiandikie mate mate na wino upo, jumapili ijayo ni kesho kutwa tu hivi, ila usiukimbie uzi wako baada ya mecxhi kama anavyofanyaga mwenzio NALIA NGWENA!!!Azam walimkamia MAX na PACOME hawakujua muuaji ni mdunguaji AZIZ KI kilichowakuta mnakijua, juzi mlivyocheza na ihefu jasusi GAMOND na benchi lake la ufundi walikuwepo uwanjani kta mkapa.
Awamu hii ni mwendo wa kukamua tu triger ko mkae kwa kutulia. Uzi tayari.
Yaani wameamua tu kujitoa ufahamu!! Uto walipigwa 2-0 na Azizi Ki hakuweza kuwasaidia!! Juzi juzi tu Mnyama kabeba ngao ya hisani mbele ya yanga na Azizi Ki hakuweza kuwasaidia!! Mimi nadhani Haji Manara hakukosea aliposema upande huo wenye akili ni wawili tu!! Hivi huyo Azizi Ki amekuja leo yanga au?Threat kwa wachovu wenzake muulize game mbili za mwisho dhidi ya simba alikuwa anafanya nn?