Yanga tunae sniper (Azizi Ki) SIMBA mkimkamia MAX na PACOME mmekwisha, mtamtambua mdunguaji wetu

Yaani timu kama Simba ikamie vichezaji vya kuunga unga kwa lipi wanaloweza kufanya dhidi ya Simba Sc
Hao wachezaji uliowataja Max na Pacome ni wachezaji wakutisha timu ndogo sio Simba ndio maana hao wachezaji kwenye game ya azam tu hata kufunga walikuwa wanatetemeka sasa jiulize kwa simba itakuwaje
 
Hizo set pieces na shot on target ni threat tosha kwa timu pinzani, waulize makipa wa ligikuu shughuli yake
Kwenye derby mambo yanakua tofauti sana sio kama mnavyoona yakitokea kwenye mechi nyingine kwa mfano Ally Salim alidaka mechi ya kwanza ya Derby yanga akiwa na striker hatari Africa Mayele alipiga shoot on target moja ya maana akiwa Tena nje ya 18 kama kumbukumbu Zangu zipo Sawa,mechi ya Tanga yanga pamoja na kumiliki mpira kwa kiasi kikubwa shoot on target ilikua moja au haizidi mbili mechi nzima...mechi ya derby wachezaji wanapandisha sana viwango ndomana Kuna mwaka alifunga zawadi Mauya,Nyoni n.k Chama pamoja na ubora wake mechi za derby yanga Hawampi nafasi ya kucheza akiwa katika ubora wake, maama yangu derby Kuna kukamiana sana ndomana mda mwingine wachezaji wasiotegemewa wanaamua mechi.
 
I SECOND YOU CHIEF
 
Timu bora yenye medali, mlichukua ngao ya jamii na mlicheza AFL.
Mbona mnateseka sana na Simba?
 
Na mimi nikamtia kimoja hivi tangu uzaliwe mwaka 2004 umewahi kumuona simba kamfunga mwarabu kwao?
Tatizo sio kumfunga,,ukamfunga afu ikawaje,,mwenzeko ana target achukue kombe wew unafurahia kuwa loser ,,,sasa baada ya kumfunga mbona hamkuchukua kombe
 
Hivi huyo Azizi Ki amekuja Yanga leo na hajawahi kucheza na Simba au? Yanga ilipofungwa na Simba 2-0 mechi ya pili msimu uliopita huyo Azizi Ki hakuwepo au? Wakati Simba inabeba ngao ya jamii mbele ya Yanga Azizi Ki hakuwepo au? Au umeamua tu kujitoa ufahamu? Tusiandikie mate mate na wino upo, jumapili ijayo ni kesho kutwa tu hivi, ila usiukimbie uzi wako baada ya mecxhi kama anavyofanyaga mwenzio NALIA NGWENA!!!
 
Threat kwa wachovu wenzake muulize game mbili za mwisho dhidi ya simba alikuwa anafanya nn?
Yaani wameamua tu kujitoa ufahamu!! Uto walipigwa 2-0 na Azizi Ki hakuweza kuwasaidia!! Juzi juzi tu Mnyama kabeba ngao ya hisani mbele ya yanga na Azizi Ki hakuweza kuwasaidia!! Mimi nadhani Haji Manara hakukosea aliposema upande huo wenye akili ni wawili tu!! Hivi huyo Azizi Ki amekuja leo yanga au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…