SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 1,213
- 1,918
Kushinda kombeNa wew nijibu kwanza huwa mnashiriki michuano ili iweje
Hawa jamaa ni watu wa ajabu sana eti game kama ya Simba mtu anazungumzia Nzengeli na Pacome hivi hawa jamaa wanajua mpira kweli au wanahisi kila timu ni Singida big starYaani wameamua tu kujitoa ufahamu!! Uto walipigwa 2-0 na Azizi Ki hakuweza kuwasaidia!! Juzi juzi tu Mnyama kabeba ngao ya hisani mbele ya yanga na Azizi Ki hakuweza kuwasaidia!! Mimi nadhani Haji Manara hakukosea aliposema upande huo wenye akili ni wawili tu!! Hivi huyo Azizi Ki amekuja leo yanga au?
Kwa akili yako unafikiri hii ndio itakuwa mechi ya kwanza Ally Salim kucheza dhidi ya Aziz Ki na Yanga?ALLY SALIM akiwepo golini tu ujue Utopolo FC wana goli 1 mkononi.... maana kwa yale mashuti ya Aziz Ki na Kwa jinsi huyo ALLY SALIM anavyowapoozeshea watu mipira naona akina Pacome na Mzize wakisubiria re-bound za kutosha...
Kibu anawasubiri wateja wakeUTAELEWA SIKU HIYO
Si ndo hapo wanazani kufunga kwa akina kcmc ndo watafunga pote,,,this is simba 💪Kwa akili yako unafikiri hii ndio itakuwa mechi ya kwanza Ally Salim kucheza dhidi ya Aziz Ki na Yanga?
Huyo Aziz apige hayo mashuti yake tuone kama atawasaidia kupata hata sare hiyo tar 5
Njoo uedit hii post bado hujachelewaSi ndo hapo wanazani kufunga kwa akina kcmc ndo watafunga pote,,,this is simba [emoji123]
Watu wamelizwa uwanjani Leo !!Huyo Njegele, Aziza na Pocono kule Tanga wakati Utopolo anapokonywa Ngao ya JAMII hawakuwepo?? Wewe huujui Mpira unaongea kishabiki. Jumapili sio mbali subir uone burudani.
Baada ya filimbi ya mwisho inonga na ngoma walimkimbilia gamondi kumpigia salutePia Gamond aliwasoma vizuri mno
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hamka usije kojoa kitandanjYaani timu kama Simba ikamie vichezaji vya kuunga unga kwa lipi wanaloweza kufanya dhidi ya Simba Sc
Hao wachezaji uliowataja Max na Pacome ni wachezaji wakutisha timu ndogo sio Simba ndio maana hao wachezaji kwenye game ya azam tu hata kufunga walikuwa wanatetemeka sasa jiulize kwa simba itakuwaje
Dharau ni kitu kibaya kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba imecheza na akina Kahraba na Perci Tau bila kuwakamia, eti omkamie Nzengeli? Mfumo utawakamia, wote watabadilika kuwa wakabaji
aiseeeYaani timu kama Simba ikamie vichezaji vya kuunga unga kwa lipi wanaloweza kufanya dhidi ya Simba Sc
Hao wachezaji uliowataja Max na Pacome ni wachezaji wakutisha timu ndogo sio Simba ndio maana hao wachezaji kwenye game ya azam tu hata kufunga walikuwa wanatetemeka sasa jiulize kwa simba itakuwaje