Yanga tunaonewa sana. hadi sasa hatujapata goli Tanga

Hilo ndilo tatizo lenu kubwa badala ya kurekebisha madhaifu mliyonayo kwenye timu mmekalia kuandama.mnahujumiwa angalieni msije mkateremka daraja mwaka huu
Marefa wanatuonea na TFF.

Pia Simba wamepuliza dawa kwenye chumba cha kupumzikia wachezaji ndio maana coastal wametuzidi sana.

Ila Mungu yupo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamwingiza Mwenyezi MUNGU Kwenye Utani Wa Kijinga? Tumbaf Gete
 
Nyie Utopolo kila game kwenu ngumu mnakwama wapi? Au Simba, TFF, wanawahujumu eeeh...[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…