kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Sisi yanga tupo sawa sawa na Vladimir Poutine.
Hatuna shobo kama wenzetu
Yaani wao kualikwa kwenye kikao cha caf apo jana imekuwa story kubwa sijui simba kubwa sijui simba hivi.
Sijui yanga ni vinyesi yaani maneno mengi.
ila Tukianza kuwashona ndo mnahanza propaganda zenu sijui league.
Dhaifu hii sijui simba ni kubwa sijui ubingwa wa mchongo yaani maneno mengi kweli
Na ndivyo mtakavyo kuwa kwenye league ya mabingwa si bado mnakariri.
Eti hawa walipigwa na Rivers United.
Sijui kwenye league ya mabingwa hawana lolote
Ila kauli zenu hizi mtazibadirisha sijui mtakuja na kauli gani pale mtakapo ona yanga tunazidi kutoboa anga kiutani utani
Sisi hatuna shobo kama ninyi bwana.
Mnaweza mkapewa mpaka shavu la kucheza uefa champions league na ubingwa wa nyumbani mkakosa
Hatuna shobo kama wenzetu
Yaani wao kualikwa kwenye kikao cha caf apo jana imekuwa story kubwa sijui simba kubwa sijui simba hivi.
Sijui yanga ni vinyesi yaani maneno mengi.
ila Tukianza kuwashona ndo mnahanza propaganda zenu sijui league.
Dhaifu hii sijui simba ni kubwa sijui ubingwa wa mchongo yaani maneno mengi kweli
Na ndivyo mtakavyo kuwa kwenye league ya mabingwa si bado mnakariri.
Eti hawa walipigwa na Rivers United.
Sijui kwenye league ya mabingwa hawana lolote
Ila kauli zenu hizi mtazibadirisha sijui mtakuja na kauli gani pale mtakapo ona yanga tunazidi kutoboa anga kiutani utani
Sisi hatuna shobo kama ninyi bwana.
Mnaweza mkapewa mpaka shavu la kucheza uefa champions league na ubingwa wa nyumbani mkakosa