kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Yanga turudie imani ile ya jezi nyeusi jezi ya kiama jezi ya moto. Najua wengi watanitukana na kuniambia kuwa jezi nyeusi haichezi mpira. Ila jezi nyeusi ni imani ambayo wana Yanga wamejiwekea.
Kama simba walivyo weka imani kuwa kwa mkapa hatoki mtu sio kwamba hatoki mtu wanatoka tena vizuri ila imani yao ambayo wamejiwekea ni kubwa kuliko hata team wanayo cheza nayo hata ikiwa kubwa kiasi gani kwasababu wana amini kuwa kwa mkapa hatoki mtu ndugu yangu kutoboa hapo ni kazi sio uchawi ila ni imani tu. Mtu ukiwa na imani ya kitu fulani hata kama hukiona ila utahisi uwepo wa kitu hicho.
Hata wachezaji wa Yanga wenyewe wameshawahi kusema kuwa wakivaa jezi nyeusi huwa wanahisi nguvu fulani mwilini. Ile nguvu ndo imani na sio kwamba ni uchawi ila hiyo ni kazi ya saikolojia mchezaji anahisi ana nguvu kubwa kumbe wapi. Kwa hiyo mazembe tukimvalia jezi nyeusi hatoboi.
Kama simba walivyo weka imani kuwa kwa mkapa hatoki mtu sio kwamba hatoki mtu wanatoka tena vizuri ila imani yao ambayo wamejiwekea ni kubwa kuliko hata team wanayo cheza nayo hata ikiwa kubwa kiasi gani kwasababu wana amini kuwa kwa mkapa hatoki mtu ndugu yangu kutoboa hapo ni kazi sio uchawi ila ni imani tu. Mtu ukiwa na imani ya kitu fulani hata kama hukiona ila utahisi uwepo wa kitu hicho.
Hata wachezaji wa Yanga wenyewe wameshawahi kusema kuwa wakivaa jezi nyeusi huwa wanahisi nguvu fulani mwilini. Ile nguvu ndo imani na sio kwamba ni uchawi ila hiyo ni kazi ya saikolojia mchezaji anahisi ana nguvu kubwa kumbe wapi. Kwa hiyo mazembe tukimvalia jezi nyeusi hatoboi.