Yanga tusicheze na Simba mpaka kesi zetu zitolewe uamuzi na TFF

Yanga tusicheze na Simba mpaka kesi zetu zitolewe uamuzi na TFF

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kama kudharaulika tumedharaulika vya kutosha.

Viongozi wa Yanga wakati wa kusimama.pamojasasa Hawa TFF wawe na heshima kwetu.

Tunaomba msikubali cheza na Simba mpaka watujibu kesi zetu zote.

Yanga timu inayojiongoza na heshima yake watujibu kwanza; barua zote zile kesho mtasikia na za timu zingine zikijibiwa.
 
Kama kudharaulika tumedharaulika vya kutosha.

Viongozi wa Yanga wakati wa kusimama.pamojasasa Hawa TFF wawe na heshima kwetu.

Tunaomba msikubali cheza na Simba mpaka watujibu kesi zetu zote.

Yanga timu inayojiongoza na heshima yake watujibu kwanza; barua zote zile kesho mtasikia na za timu zingine zikijibiwa.
Ule mpango wenu wa kuhamia Zanzibar uliishia wapi nyie vibudu wa Utopolo?
 
Halafu unaweza kushangaa huu utopolo uliouandika hapa ukaungwa mkono hadi na wasomi wa PhD wanaoshabikia yanga.
Kama kudharaulika tumedharaulika vya kutosha.

Viongozi wa Yanga wakati wa kusimama.pamojasasa Hawa TFF wawe na heshima kwetu.

Tunaomba msikubali cheza na Simba mpaka watujibu kesi zetu zote.

Yanga timu inayojiongoza na heshima yake watujibu kwanza; barua zote zile kesho mtasikia na za timu zingine zikijibiwa.
 
Nyie si mnajidai kuwashangilia Kaizer Chiefs, popote tutapokutana lazima tuwatoe utumbo nje.
 
Back
Top Bottom