Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Towenu pesa. Clabu aina pesa nategemea fedha za mtu GSM.Benchi la ufundi uongozi na scouts wetu wa Yanga hebu tujaribu fanya mawasiliano na yule mchezaji beki rasta wa timu hii ya Sudan el Mereikh, hakika atatufaa sana kuimarisha ukuta kule nyuma.
Ni matumaini yangu yule mtu kama akisimama na Lamine hakuna paka yeyote atakayekatisha, hebu tumwangalie tena leo vizuri hapo saa kumi kwenye dimba la mkapa wengi mtakubaliana nami kuwa yule mtu atatufaa sana wananchi.
Simba haina hata mia, ndio maana mkizengua Mo anasema anajitoa. Simba haina pesa wala haina mipango, ila kilichopo ni MO (not club) anayejipangia. Mlichofanikiwa kwenye mipango ni kusingizia timu pinzani kuwa na corona.Unauliza jibu! sio pesa tu hua wachezaji wazuri wanaangalia malengo ya team husika mpaka sasa ukiulizwa malengo ya utopolo ni yapi ? Utakosa jibu team ipo ipo tu ,nyie suburin wachezaji kama kina sarpong na wengine wa level hiyo
Tupo na PrisonsYanga bado ipoo?
Hata Marekani ina madeni, hebu njoo na hoja zenye akiliSasa mbona Tambwe, Sibomana, Zahera na Kaze wanawadai?
lakin simba wameshinda. haijalish wameshindaje. wameshindaSimba haina hata mia, ndio maana mkizengua Mo anasema anajitoa. Simba haina pesa wala haina mipango, ila kilichopo ni MO (not club) anayejipangia. Mlichofanikiwa kwenye mipango ni kusingizia timu pinzani kuwa na corona.
Ndio maana kasema hata mashabiki mnafel hamjielewi. Au hakusema hiyo?Tunafeli vipi?si ni nyie mnaokosa usingizi sababu ya yanga siku zote?nyie mnatengaga fungu maalum kwa ajili ya kumvurugia Yanga tu mambo yake
Mfano tu mchezaji Morrison