Yanga tusitumike kufunika suala la watu kutekwa na kuuawa

Yanga tusitumike kufunika suala la watu kutekwa na kuuawa

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Naona tunakazana sana sababu tunajua mitanzania mingi haina uelewa. Itajikita mambo ya Simba na Yanga na kusahau ya msingi.

Hili limesukwa na kuja changamsha vijiwe huku mtaani watu wote wanazungumzia mbuzi kagoma. Simba na Yanga na sijui nini

Lengo ni kuwatoa watu kwenye Reli.
 
Ngoja waje hao wa Simba na yanga tuwasikie wanasemajee
 
Wewe endelea na mafwele waache na wengine waendelee na Simba na yanga
 
Back
Top Bottom