ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Baada ya draw ya leo mchana play off Kombe la Shirikisho, nimesikia maoni mengi ya wenzangu wakiitaja timu pinzani yetu kuwa ni wepesi na kwamba tutawapiga kama ngoma. Naomba tusijiamini hivyo wala kujipa imani kubwa itakayotutoa ari ya upambanaji.
Nijuavyo mimi Club Africanais ni wazuri hasa, kumfunga Kipanga goli 7 si kubahatisha, walimfunga kweli. Na Kipanga kutoa sare kule Zanzibar, si kwamba Kipanga alishindikana kufungwa bali wale Waarabu walichukua muda mwingi kuwasoma Kipanga kwa ile 1st leg.
Hivyo tusibweteke kabisa na kuchukulia wale walitoa draw na Kipanga, ati sisi itakua kazi rahisi tusijidanganye! Cha kufanya tukaze buti tupambane na kushinda idadi itakayowezekana ya magoli kwa mechi hiyo mkondo wa kwanza kabla ya kurudiana tarehe 9. Hiyo ndiyo silaha pekee tuliyonayo na si kuwabeza Waarabu.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Nijuavyo mimi Club Africanais ni wazuri hasa, kumfunga Kipanga goli 7 si kubahatisha, walimfunga kweli. Na Kipanga kutoa sare kule Zanzibar, si kwamba Kipanga alishindikana kufungwa bali wale Waarabu walichukua muda mwingi kuwasoma Kipanga kwa ile 1st leg.
Hivyo tusibweteke kabisa na kuchukulia wale walitoa draw na Kipanga, ati sisi itakua kazi rahisi tusijidanganye! Cha kufanya tukaze buti tupambane na kushinda idadi itakayowezekana ya magoli kwa mechi hiyo mkondo wa kwanza kabla ya kurudiana tarehe 9. Hiyo ndiyo silaha pekee tuliyonayo na si kuwabeza Waarabu.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app