Kule kwao hawana .ashabikiKama mmepigwa goli mbili ndani ya dakk5 na dodoma jiji sembuse kule kwa Madiba ambapo uwanja utajaa
Haya tutaona sapraisi naona mmelewa sifa Uto
Ndiyo Kama unavyoonaKwahiyo Yanga na Simba zimeizidi Raja Casablanca kwenye rank? seriously?
Ugumu upi na wametobolewa hapo Taifa?1. Mkiwatoa kwenye mashindano.
2 .Mkiwafunga Malumo nyumbani KWAO.
Nashindwa hata niahidi nini lakini ni ngumu mno kuwafunga wale jamaa.
Dodoma ndo uchafu gani!Kama mmepigwa goli mbili ndani ya dakk5 na dodoma jiji sembuse kule kwa Madiba ambapo uwanja utajaa
Haya tutaona sapraisi naona mmelewa sifa Uto
2-1 ... Yanga imepita
Yanga twende kuwapa marumo surprise ambayo hawakutegemea. Maana kwenye akili zao wanafikiri Yanga wataenda na mpira wa kuzuia tu na kupoteza dakika, lakini naamini tunaweza kuwapiga nje ndani.
Kwa Yanga hii ni bora ucheze nao mpira wa kupaki na kufanya conter attack pale wanapokuwa wamepanda juu. lakini ukifanya kiherehere cha kutaka kuwashambulia huku ukiwa umeacha mabeki wa tatu au wanne nyuma imekula kwako.
Al ahly club ya Tano kwa ubora Duniani? Hizi data hiziKwahiyo Yanga na Simba zimeizidi Raja Casablanca kwenye rank? seriously?
Marumo labda wakodi mashabiki.Kama mmepigwa goli mbili ndani ya dakk5 na dodoma jiji sembuse kule kwa Madiba ambapo uwanja utajaa
Haya tutaona sapraisi naona mmelewa sifa Uto
Hahahahah hapo ndipo nilichoka.Al ahly club ya Tano kwa ubora Duniani? Hizi data hizi
Eti ameizidi hadi Liverpool duuhAl ahly club ya Tano kwa ubora Duniani? Hizi data hizi
Kwa Yanga SAWA, ila kwa Simba nadhani wamepitiwa kidogo [emoji1787][emoji1787]Kwahiyo Yanga na Simba zimeizidi Raja Casablanca kwenye rank? seriously?