Yanga tuwe imara, TFF inawaandalia ubingwa Simba Kwa kuinyongonyeza Yanga

Yanga tuwe imara, TFF inawaandalia ubingwa Simba Kwa kuinyongonyeza Yanga

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
TFF wamejipanga Simba awe bingwa mbele ya Yanga imara

TFF Leo wametumika kamati zake kumfungia Ally Kamwe miaka 2 kutokujihusisha na soccer

Hili ni jambo baya na uhuni wa wazi, Ahmed Ally aliyetamka kuwa adui wa Simba ni Yanga akiachwa huru kuzidi kuzua taharuki

Kuelekea derby TFF inamfungia msemaji wa Yanga ambaye ndo mwenyeji wa mechi ili kushusha hamasa na Yanga ikose mapato na ipoteze mchezo

TFF mmewabeba Simba mmewapa penalties za uongo

Wapinzani wamepewa red card ♦️ za ajabu nyingi.

Soma Pia: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally aachiwa huru na TFF

TFF wamehujumu mechi za Simba dhidi ya Tabora United na kuwachezesha wachezaji dhaifu kwakuwa Tabora United walicheleweshewa vibali

TFF walifanya hivo mechi dhidi ya Simba na Fountain Gate

TFF acheni acheni upendeleo acha bingwa apatikane Kwa uwazi

Naamini Eng Hersi Said ni kiongozi makini najua ashalitatua hili tatizo hata kabla halijatokea

Kwa hasira hizi Yanga tunaenda kushinda hii derby, hata kama Simba akashirikiana na TFF msimu huu hapati ubingwa
 

Attachments

  • markup_1000097575.png
    markup_1000097575.png
    1.3 MB · Views: 1
Kwa kikosi cha simba na jinsi wanavyocheza,na aina ya matokeo anayoyapata mara penalty,waamuzi kuwabeba! Ikitokea akachukua ubingwa ntaanza kuhisi bingwa huwa anapangwa na kuna uwezekano hizi mechi zinatumika kucontrol jamii! Labda sasa ni zamu ya simba awe bingwa
Hili suala Hersi alishawahi kulizungumzia. Fatilia mahojiano aliyafanya na kipindi cha Wasafi Fm cha kina Edo Kumwembe na Oscar. Alisema kabisa kuna namna simba anapangwa kuwa bingwa ili kuleta utulivu kwa mashabiki wao.
 
Hili suala Hersi alishawahi kulizungumzia. Fatilia mahojiano aliyafanya na kipindi cha Wasafi Fm cha kina Edo Kumwembe na Oscar. Alisema kabisa kuna namna simba anapangwa kuwa bingwa ili kuleta utulivu kwa mashabiki wao.
TFF wanaweka mazingira rahisi Simba awe bingwa
Wote tutashangaa maamzi ya Arajiga Jumamosi
Walimpa maelekezo Kayoko alivokataa kufata wakamfungia bila kosa
Hii ni kuwatisha waamzi ili waipendelee Simba
 
Kwani Ally Makundi ndio anacheza? Kwani TFF wamewapangia uto kikosi? Kwani bila kamdomo uto hawafungi?

Kuhusu mashabiki hata uto wote wasipoingia Simba wataujaza uwanja
 
Kwani Kuna uongo gani kwamba adui mkubwa wa Simba ni nyuma mwiko? Au neno adui linawachanganya sana tutumie neno mpinzani?
Badala ya kulalamika yule mama na mwanachama wenualiyemwambia mnaenda pangani kuroga mnalalamika hoja za kitoto
 
TFF wamejipanga Simba awe bingwa mbele ya Yanga imara

TFF Leo wametumika kamati zake kumfungia Ally Kamwe miaka 2 kutokujihusisha na soccer

Hili ni jambo baya na uhuni wa wazi, Ahmed Ally aliyetamka kuwa adui wa Simba ni Yanga akiachwa huru kuzidi kuzua taharuki

Kuelekea derby TFF inamfungia msemaji wa Yanga ambaye ndo mwenyeji wa mechi ili kushusha hamasa na Yanga ikose mapato na ipoteze mchezo

TFF mmewabeba Simba mmewapa penalties za uongo

Wapinzani wamepewa red card ♦️ za ajabu nyingi.

Soma Pia: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally aachiwa huru na TFF

TFF wamehujumu mechi za Simba dhidi ya Tabora United na kuwachezesha wachezaji dhaifu kwakuwa Tabora United walicheleweshewa vibali

TFF walifanya hivo mechi dhidi ya Simba na Fountain Gate

TFF acheni acheni upendeleo acha bingwa apatikane Kwa uwazi

Naamini Eng Hersi Said ni kiongozi makini najua ashalitatua hili tatizo hata kabla halijatokea

Kwa hasira hizi Yanga tunaenda kushinda hii derby, hata kama Simba akashirikiana na TFF msimu huu hapati ubingwa
Vp tuandamane

Ova
 
Hizi habari najua mnazileta sasa hivi ili kuwtoa wananchi kwenye mstari sio, ili waogope derby.
Mkono mwingine bado unawahusu sana nyie.
Tutafuatiria habari hizi kama ni za kweli bada ya derby tarehe 8. Mmmmmh sasa hivi hatujiusishi nazo.
Waambieni makolo fc kwamba habari zimefeli kabla hazijafika kwa walengwa.
 
Usilielie hovyo mtoto wa kiume wewee. Huyo Kamwe lini amefanikiwa kuleta mashabiki uwanjani?

Kama ni kweli basi hapa kuna mchongo umetengenezwa ili huyo dogo aende kuongeza nguvu kwenye kampeni.
 
Iwe ni kweli, au ni uongo! Bado hakuna kitakacho badilika hiyo tarehe 8! Yanga ya akina Aziz Kii inaogopesha sana inapokutana na Simba ya akina Mutale.
 
TFF wamejipanga Simba awe bingwa mbele ya Yanga imara

TFF Leo wametumika kamati zake kumfungia Ally Kamwe miaka 2 kutokujihusisha na soccer

Hili ni jambo baya na uhuni wa wazi, Ahmed Ally aliyetamka kuwa adui wa Simba ni Yanga akiachwa huru kuzidi kuzua taharuki

Kuelekea derby TFF inamfungia msemaji wa Yanga ambaye ndo mwenyeji wa mechi ili kushusha hamasa na Yanga ikose mapato na ipoteze mchezo

TFF mmewabeba Simba mmewapa penalties za uongo

Wapinzani wamepewa red card ♦️ za ajabu nyingi.

Soma Pia: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally aachiwa huru na TFF

TFF wamehujumu mechi za Simba dhidi ya Tabora United na kuwachezesha wachezaji dhaifu kwakuwa Tabora United walicheleweshewa vibali

TFF walifanya hivo mechi dhidi ya Simba na Fountain Gate

TFF acheni acheni upendeleo acha bingwa apatikane Kwa uwazi

Naamini Eng Hersi Said ni kiongozi makini najua ashalitatua hili tatizo hata kabla halijatokea

Kwa hasira hizi Yanga tunaenda kushinda hii derby, hata kama Simba akashirikiana na TFF msimu huu hapati ubingwa
.
 

Attachments

  • JamiiForums592774928.jpeg
    JamiiForums592774928.jpeg
    10.7 KB · Views: 1
Back
Top Bottom