Yanga tuwe imara, TFF inawaandalia ubingwa Simba Kwa kuinyongonyeza Yanga

Yanga tuwe imara, TFF inawaandalia ubingwa Simba Kwa kuinyongonyeza Yanga

TFF wamejipanga Simba awe bingwa mbele ya Yanga imara

TFF Leo wametumika kamati zake kumfungia Ally Kamwe miaka 2 kutokujihusisha na soccer

Hili ni jambo baya na uhuni wa wazi, Ahmed Ally aliyetamka kuwa adui wa Simba ni Yanga akiachwa huru kuzidi kuzua taharuki

Kuelekea derby TFF inamfungia msemaji wa Yanga ambaye ndo mwenyeji wa mechi ili kushusha hamasa na Yanga ikose mapato na ipoteze mchezo

TFF mmewabeba Simba mmewapa penalties za uongo

Wapinzani wamepewa red card ♦️ za ajabu nyingi.

Soma Pia: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally aachiwa huru na TFF

TFF wamehujumu mechi za Simba dhidi ya Tabora United na kuwachezesha wachezaji dhaifu kwakuwa Tabora United walicheleweshewa vibali

TFF walifanya hivo mechi dhidi ya Simba na Fountain Gate

TFF acheni acheni upendeleo acha bingwa apatikane Kwa uwazi

Naamini Eng Hersi Said ni kiongozi makini najua ashalitatua hili tatizo hata kabla halijatokea

Kwa hasira hizi Yanga tunaenda kushinda hii derby, hata kama Simba akashirikiana na TFF msimu huu hapati ubingwa
Wenye akili ni wawili tu huko Utopoloni - Mzungu Manara
 
Nikajua jana ulisesema haiwezekani Ally Kamwe kufungiwa?
 
TFF wamejipanga Simba awe bingwa mbele ya Yanga imara

TFF Leo wametumika kamati zake kumfungia Ally Kamwe miaka 2 kutokujihusisha na soccer

Hili ni jambo baya na uhuni wa wazi, Ahmed Ally aliyetamka kuwa adui wa Simba ni Yanga akiachwa huru kuzidi kuzua taharuki

Kuelekea derby TFF inamfungia msemaji wa Yanga ambaye ndo mwenyeji wa mechi ili kushusha hamasa na Yanga ikose mapato na ipoteze mchezo

TFF mmewabeba Simba mmewapa penalties za uongo

Wapinzani wamepewa red card ♦️ za ajabu nyingi.

Soma Pia: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally aachiwa huru na TFF

TFF wamehujumu mechi za Simba dhidi ya Tabora United na kuwachezesha wachezaji dhaifu kwakuwa Tabora United walicheleweshewa vibali

TFF walifanya hivo mechi dhidi ya Simba na Fountain Gate

TFF acheni acheni upendeleo acha bingwa apatikane Kwa uwazi

Naamini Eng Hersi Said ni kiongozi makini najua ashalitatua hili tatizo hata kabla halijatokea

Kwa hasira hizi Yanga tunaenda kushinda hii derby, hata kama Simba akashirikiana na TFF msimu huu hapati ubingwa
Hawa watu hata hawajistukii wanaonesha mapenzi yao waziwazi, na sasahivi wanaitumia crown fm na baadhi ya redio kushinikiza wanachokifanya kionekane sahihi, haiwezekan wasemaji wa Yanga tu kila msimu wanafungiwa tena zikikaribia mechi muhim!
 
Hawa watu hata hawajistukii wanaonesha mapenzi yao waziwazi, na sasahivi wanaitumia crown fm na baadhi ya redio kushinikiza wanachokifanya kionekane sahihi, haiwezekan wasemaji wa Yanga tu kila msimu wanafungiwa tena zikikaribia mechi muhim!
Hakika mkuu
 
TFF wamejipanga Simba awe bingwa mbele ya Yanga imara

TFF Leo wametumika kamati zake kumfungia Ally Kamwe miaka 2 kutokujihusisha na soccer

Hili ni jambo baya na uhuni wa wazi, Ahmed Ally aliyetamka kuwa adui wa Simba ni Yanga akiachwa huru kuzidi kuzua taharuki

Kuelekea derby TFF inamfungia msemaji wa Yanga ambaye ndo mwenyeji wa mechi ili kushusha hamasa na Yanga ikose mapato na ipoteze mchezo

TFF mmewabeba Simba mmewapa penalties za uongo

Wapinzani wamepewa red card ♦️ za ajabu nyingi.

Soma Pia: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally aachiwa huru na TFF

TFF wamehujumu mechi za Simba dhidi ya Tabora United na kuwachezesha wachezaji dhaifu kwakuwa Tabora United walicheleweshewa vibali

TFF walifanya hivo mechi dhidi ya Simba na Fountain Gate

TFF acheni acheni upendeleo acha bingwa apatikane Kwa uwazi

Naamini Eng Hersi Said ni kiongozi makini najua ashalitatua hili tatizo hata kabla halijatokea

Kwa hasira hizi Yanga tunaenda kushinda hii derby, hata kama Simba akashirikiana na TFF msimu huu hapati ubingwa
KwaniAli kamwe anacheza namba ngapiyanga?...acheni ujinga!
 
TFF wamejipanga Simba awe bingwa mbele ya Yanga imara

TFF Leo wametumika kamati zake kumfungia Ally Kamwe miaka 2 kutokujihusisha na soccer

Hili ni jambo baya na uhuni wa wazi, Ahmed Ally aliyetamka kuwa adui wa Simba ni Yanga akiachwa huru kuzidi kuzua taharuki

Kuelekea derby TFF inamfungia msemaji wa Yanga ambaye ndo mwenyeji wa mechi ili kushusha hamasa na Yanga ikose mapato na ipoteze mchezo

TFF mmewabeba Simba mmewapa penalties za uongo

Wapinzani wamepewa red card ♦️ za ajabu nyingi.

Soma Pia: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally aachiwa huru na TFF

TFF wamehujumu mechi za Simba dhidi ya Tabora United na kuwachezesha wachezaji dhaifu kwakuwa Tabora United walicheleweshewa vibali

TFF walifanya hivo mechi dhidi ya Simba na Fountain Gate

TFF acheni acheni upendeleo acha bingwa apatikane Kwa uwazi

Naamini Eng Hersi Said ni kiongozi makini najua ashalitatua hili tatizo hata kabla halijatokea

Kwa hasira hizi Yanga tunaenda kushinda hii derby, hata kama Simba akashirikiana na TFF msimu huu hapati ubingwa
Kwahiyo ally kamwe ndo straiker tegemewa pale nyuma mwiko siyo
 
Back
Top Bottom