makahuto
Member
- Aug 27, 2016
- 80
- 26
Kwani timu IPI imeleta kombe la Africa bongo? Jitahidini mkacheze nyie mikia sio kulalama tu wakati Mpira hamuweziNadiriki kuwaambia Yanga kuwa imethibitika pasipo shaka kuwa Klabu ya Yanga haina uwezo kabisa ya kufanya vizuri kwenye Mashindano ya Kimataifa.Klabu ya Yangu imeshiriki miaka 2 mfululizo bila kufanya vizuri.Kwa ushahidi huo nawashauri Yanga hebu wajisikie aibu kidogo .Klabu ya TP Mazembe walikuwa kundi moja Na Yanga lakini ni TP Mazembe ndio Mabingwa wa Afrika huku Yanga wanahangaika Na Ndanda Na Mbeya city .