Hirizi, hirizi, mbeba hirizi.Wakuu, nazipongeza timu zetu kwa matokeo mazuri ya mechi za CAF zilizochezwa hspa nyumbani.
Naomba mnisaidie utaratibu wa timu ya Yanga wachezaji kuingia uwanjani.
Nimezowea kuona timu zinapoingia uwanjani hutanguliza kapteni halafu golikipa kama kipa si kapteni, kwa maana kapteni atangulie.
Sasa kwa Yanga hii ni mechi ya pili kumuona Mayele ambae si kapteni akiongoza wachezaji wenzie kuingia uwanjani. Jana walijipanga vizuri kwa Mwamyeto kutangulia, lakini ghafla kufika uwanjani Mayele akatangulia, hii inakaaje???
fanya unacho kiwaza ndio hichoWakuu, nazipongeza timu zetu kwa matokeo mazuri ya mechi za CAF zilizochezwa hspa nyumbani.
Naomba mnisaidie utaratibu wa timu ya Yanga wachezaji kuingia uwanjani.
Nimezowea kuona timu zinapoingia uwanjani hutanguliza kapteni halafu golikipa kama kipa si kapteni, kwa maana kapteni atangulie.
Sasa kwa Yanga hii ni mechi ya pili kumuona Mayele ambae si kapteni akiongoza wachezaji wenzie kuingia uwanjani. Jana walijipanga vizuri kwa Mwamyeto kutangulia, lakini ghafla kufika uwanjani Mayele akatangulia, hii inakaaje???
Ukizijua yanga na simba hili halikushangaziHeh! Kama ni hizo inasikitisha.
Unamzungumzia Bakari NONDO ?Mwamyeto kutangulia
SanaKwa Ina hii ya mabandiko nasisitiza Mheshimiwa Lage ajengewe mnara.
NI MAAGIZO YA KAMATI YA UFUNDI( JUJU) Yanga inaamini sana ktk HILOWakuu, nazipongeza timu zetu kwa matokeo mazuri ya mechi za CAF zilizochezwa hspa nyumbani.
Naomba mnisaidie utaratibu wa timu ya Yanga wachezaji kuingia uwanjani.
Nimezowea kuona timu zinapoingia uwanjani hutanguliza kapteni halafu golikipa kama kipa si kapteni, kwa maana kapteni atangulie.
Sasa kwa Yanga hii ni mechi ya pili kumuona Mayele ambae si kapteni akiongoza wachezaji wenzie kuingia uwanjani. Jana walijipanga vizuri kwa Mwamyeto kutangulia, lakini ghafla kufika uwanjani Mayele akatangulia, hii inakaaje???
Kwahiyo unateseka?Wakuu, nazipongeza timu zetu kwa matokeo mazuri ya mechi za CAF zilizochezwa hspa nyumbani.
Naomba mnisaidie utaratibu wa timu ya Yanga wachezaji kuingia uwanjani.
Nimezowea kuona timu zinapoingia uwanjani hutanguliza kapteni halafu golikipa kama kipa si kapteni, kwa maana kapteni atangulie.
Sasa kwa Yanga hii ni mechi ya pili kumuona Mayele ambae si kapteni akiongoza wachezaji wenzie kuingia uwanjani. Jana walijipanga vizuri kwa Mwamyeto kutangulia, lakini ghafla kufika uwanjani Mayele akatangulia, hii inakaaje???