Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Wakuu, nazipongeza timu zetu kwa matokeo mazuri ya mechi za CAF zilizochezwa hspa nyumbani.
Naomba mnisaidie utaratibu wa timu ya Yanga wachezaji kuingia uwanjani.
Nimezowea kuona timu zinapoingia uwanjani hutanguliza kapteni halafu golikipa kama kipa si kapteni, kwa maana kapteni atangulie.
Sasa kwa Yanga hii ni mechi ya pili kumuona Mayele ambae si kapteni akiongoza wachezaji wenzie kuingia uwanjani. Jana walijipanga vizuri kwa Mwamyeto kutangulia, lakini ghafla kufika uwanjani Mayele akatangulia, hii inakaaje???
Naomba mnisaidie utaratibu wa timu ya Yanga wachezaji kuingia uwanjani.
Nimezowea kuona timu zinapoingia uwanjani hutanguliza kapteni halafu golikipa kama kipa si kapteni, kwa maana kapteni atangulie.
Sasa kwa Yanga hii ni mechi ya pili kumuona Mayele ambae si kapteni akiongoza wachezaji wenzie kuingia uwanjani. Jana walijipanga vizuri kwa Mwamyeto kutangulia, lakini ghafla kufika uwanjani Mayele akatangulia, hii inakaaje???