Yanga vipi?

Hivi umeona shamrashamra zozote za ushindi wa jana? Tumezoea ushindi! Tuliona kawaida sana. Hakukua na jipya.
Waliozoea ushindi yanga maana ilo kombe we we unaona umepata mwaka huu yanga kachukua tatu mfululizo sasa kuchukua Mara moja baada ya yanga kuyuamba kiuchumi imekuwa mmezoea...???? Aisee ama kweli maskini akipata matako hulia mbata
 
Nitarudi ngoja nicheck kwanza mpira.

[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]


Mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…