Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hawana hamu na Yanga
Walijua tutakuwa mahututi miaka yote. Teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hawana hamu na Yanga
Ndio tuwaulizee...Wa mchangani aiseeHahaaaaa. Hivyo wanyamazage tu kwa kweli.
Hivyo wao walivyomfunga mtibwa 2-1 pia walibebwa?
Hatari katika eneo la yanga namna gani paleJirani kama kushangaa tungeshangaa kwa USM Alger banaaa. [emoji12] [emoji12] [emoji12]
GooooooooJirani kama kushangaa tungeshangaa kwa USM Alger banaaa. [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hahahaaah kumbeMaiti imepiga chafya. Marehenu kanyoosha kidole. Shughuli ya mazishi inabidi isitishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefika dada anguradika, Zamaulid, Mgagaa na Upwa, Southern Highland, Songa Heri, Numbisa njooni jamaani
Mambo ni moto
Tunaongoza 2-1 hukooo.