Daniel Mbega
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 338
- 180
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga, wako vitani dhidi ya Al Ahly ya Misri katika mchezo wa marudiano wa raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo wanatafuta ushindi ama sare ya zaidi ya bao moja ili waingie hatua ya makundi.
Wawakilishi hao wa Tanzania wanaingia uwanjani leo hii huku wakitambua kwamba, wawakilishi wengine, Azam, ambao walikuwa na nafasi kubwa ya kusonga mbele kwenye Kombe la Shirikisho, wamekwishatolewa.
Kwa habari zaidi, soma hapa => Yanga vs Al Ahly ni vita leo, Zesco yasonga mbele Ligi ya Mabingwa | Fikra Pevu