Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Niko Zanzibar kwa ajili ya robo fainali. Niliikuwa na baadhi ya viongozi wa Yanga asubuhi moja ya mambo yanawaumiza kichwa ni hawa APR tuwape kikosi B ama C?
Nkasema si mbaya kupata ushauri wenu pia.
Muda badoo unaruhusu weka maoni yako tuweze kuona tunawapa APR ladha ipi.
Nkasema si mbaya kupata ushauri wenu pia.
Muda badoo unaruhusu weka maoni yako tuweze kuona tunawapa APR ladha ipi.