We ndo unafanya wote tuonekane vilaza. Coach juzi alishasema. Akamaliza kila kituNiko znz kwa ajili ha robofinal
Niliiuwa na baadhi ya viongozi asbh moja ha mambo yanawaumiza kichwa n haw Apr tuwape kikosi b ama c
Nkasema simbaya kupata ushuri ushauri wenu pia
Mda badoo unaruhusu weka maoni yako yuweze kuon tunawapa Apr ladh ipi
C n pamoja na und 17 tunawapa mchangaanyoooo aka urojoosotojoooo toshaa
Ungeandika kwa kiswahili ingependeza zaid.Niko znz kwa ajili ha robofinal
Niliikuwa na baadhi ya viongozi wa yanga asbh moja ya mambo yanawaumiza kichwa n hawa Apr tuwape kikosi b ama c
Nkasema simbaya kupata ushauri wenu pia
Mda badoo unaruhusu weka maoni yako tuweze kuona tunawapa Apr ladha ipi
C n pamoja na und 17 tunawapa mchangaanyoooo aka urojoosotojoooo toshaa
Weeeh..wkt akina pacome wanapanda boti leo kuwawahi wajeda wa kagameHahahaa mwandiko wako sasa...
Chezesheni kikosi F
Muda wa kucheza watoto umeisha sasa hv toa mtu weka mtuNiko Zanzibar kwa ajili ya robo fainali. Niliikuwa na baadhi ya viongozi wa Yanga asubuhi moja ya mambo yanawaumiza kichwa ni hawa APR tuwape kikosi B ama C?
Nkasema si mbaya kupata ushauri wenu pia.
Muda badoo unaruhusu weka maoni yako tuweze kuona tunawapa APR ladha ipi.
F ya kikos au darasan?Hahahaa mwandiko wako sasa...
Chezesheni kikosi F
Ai wanajishauaa eti kikosi kipanaa..kocha kashawaambia hawana kikosi kipana..Weeeh..wkt akina pacome wanapanda boti leo kuwawahi wajeda wa kagame
Si mna vikosi vingi?? Huyo kauliza B au C nimemwambia FF ya kikos au darasan?
Sasa pale kiswahil kika husikaje?Si mna vikosi vingi?? Huyo kauliza B au C nimemwambia F
Angalia uzi wake mkuu...huyo ni bingwa wa michapio...hahahahSasa pale kiswahil kika husikaje?
Ana Mafua mwenzioAndika vizuri acha wenge kikodi ndio nn?