Yanga vs Aursburg Kabwe- Mbeya

Yanga vs Aursburg Kabwe- Mbeya

Nenda Mwailubi hapo karibu na Mafiat pale utulivu wa kutosha sehemu nyingine hovyo tu
 
Nenda JNI chukua mwewe waambie wakupereke johnsburg, ukishatua hapo airport chukua bajaji mpaka pretoria kisha mpigie simu mwamnyeto atakuja kukupokea maana leo atakuwa benchi
 
Ukiitaja mbeya nakumbuka kitimoto na sijawahi kula tena kitimoto nzuri duniani kama ile
 
Nenda JNI chukua mwewe waambie wakupereke johnsburg, ukishatua hapo airport chukua bajaji mpaka pretoria kisha mpigie simu mwamnyeto atakuja kukupokea maana leo atakuwa benchi

Mpumalanga na sio Pretoria...
 
Back
Top Bottom