ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Kuna juhudi kubwa na za lazima kuinua mchezo huu hapa nyumbani kwa kuanza na watoto wadogo kabisa wajengewe misingi na mbinu madhubuti ili waje kua tegemeo LA taifa baadae.
Nimeangalia game hii mwanzo mwisho nilichokibaini ni kua bado Kiwango chetu ni tatizo,inafikia mahala unaona timu zote zinzoshiriki Vpl zina kiwango kimoja,kiwango ambacho kama ni speed 180 kph wao wote wanaishia Speed speed 70 na huenda wachezaji ni hawa hawa wanahama hama tu,
Fikiria Striker anaingia Ndani ya 18 zaidi ya Mara mbili yeye na goli ama anakosa goli ama anaanguka....loh
Tatizo kubwa nililoliona ni Ball Control,hili ni tatizo kubwa sana nchini na ndio kisa waweza laumu walimu hapana,walimu wengi ni wazuri Ila ndio hivyo inakua ngumu kufundishika!uwezo wa kuelewa unagota,
Serikali na Tff kupitia program za kukuza vipaji mlitilie umuhimu sana hili,Watoto wajengewe Football skills ikiwa ni pamoja na speed/acculacy na ball control mapema
Natumai baadae tutafurahi baada ya kuanza kuvuna tulichopanda,tuache ushabiki tu bila kuangalia kiwango.Jana tumeshuhudia mechi nyingi za bpl na LA liga, tunataka na sie tufike pale jamani.
Nimeangalia game hii mwanzo mwisho nilichokibaini ni kua bado Kiwango chetu ni tatizo,inafikia mahala unaona timu zote zinzoshiriki Vpl zina kiwango kimoja,kiwango ambacho kama ni speed 180 kph wao wote wanaishia Speed speed 70 na huenda wachezaji ni hawa hawa wanahama hama tu,
Fikiria Striker anaingia Ndani ya 18 zaidi ya Mara mbili yeye na goli ama anakosa goli ama anaanguka....loh
Tatizo kubwa nililoliona ni Ball Control,hili ni tatizo kubwa sana nchini na ndio kisa waweza laumu walimu hapana,walimu wengi ni wazuri Ila ndio hivyo inakua ngumu kufundishika!uwezo wa kuelewa unagota,
Serikali na Tff kupitia program za kukuza vipaji mlitilie umuhimu sana hili,Watoto wajengewe Football skills ikiwa ni pamoja na speed/acculacy na ball control mapema
Natumai baadae tutafurahi baada ya kuanza kuvuna tulichopanda,tuache ushabiki tu bila kuangalia kiwango.Jana tumeshuhudia mechi nyingi za bpl na LA liga, tunataka na sie tufike pale jamani.