Makoye Matale JF-Expert Member Joined May 2, 2011 Posts 6,491 Reaction score 2,104 Aug 14, 2016 #141 Katavi said: Jana Chirwa Na Msuva wamewaangusha sana.! Click to expand... Tukishinda hakuna kuangushwa, cha msingi pointi 3 Mkuu. Tungefungwa, hao uliowataja kingenuka kama siyo kuchimbika.
Katavi said: Jana Chirwa Na Msuva wamewaangusha sana.! Click to expand... Tukishinda hakuna kuangushwa, cha msingi pointi 3 Mkuu. Tungefungwa, hao uliowataja kingenuka kama siyo kuchimbika.
G Guasa Ambonii JF-Expert Member Joined Aug 13, 2015 Posts 8,545 Reaction score 10,283 Aug 14, 2016 #142 Katavi said: Mtani hongereni sana. Jana nadhani ulikuwa uwanjani ukiwafuatilia vijana.! Click to expand... Shukran niyngi
Katavi said: Mtani hongereni sana. Jana nadhani ulikuwa uwanjani ukiwafuatilia vijana.! Click to expand... Shukran niyngi
libeva JF-Expert Member Joined Mar 25, 2015 Posts 4,465 Reaction score 3,615 Aug 14, 2016 #143 zipompa said: Hahahahaha! Yule jamaa atakuwa alitokea senegal uswahilini. Click to expand... Simba walijitapa sana wameshusha striker hatari
zipompa said: Hahahahaha! Yule jamaa atakuwa alitokea senegal uswahilini. Click to expand... Simba walijitapa sana wameshusha striker hatari
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Aug 14, 2016 #144 Wazomeaji wako wapi?
Bantu Lady JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 8,900 Reaction score 28,398 Aug 14, 2016 #145 Hongera timu nzima ya Yanga na mashabiki wote. Jana tuliwalaza watu mapema, kama wao ndio walikuwa wanacheza. Hatujuti kuwa Yanga... #teamyangaforever#
Hongera timu nzima ya Yanga na mashabiki wote. Jana tuliwalaza watu mapema, kama wao ndio walikuwa wanacheza. Hatujuti kuwa Yanga... #teamyangaforever#