YANGA vs NATIONAL Al AHLY

YANGA vs NATIONAL Al AHLY

Goli la Al Haly lingine limekataliwa, sijaona offide kusema ukweli. Kazi ipo!!
 
Dakika ya nne goli, takika ya 18 now. Wanahitaji magoli matano kushinda!! LOL!

Tks.... kama kawaida walitaka kutunyamazisha ikiwezekana dakika ya 1. maana hapo sasa kuna kazi..... Matano? mhh!
 
Mapumziko sasa! Bado moja bila...Ila jamani uwanja wetu unaonekana vizuri sana kwenye TV ya hawa Al Ahly...
 
Waarabu wazuri sana wanacheza kama wapo kwenye om ground yao...yanga ndo hivyo tena kushnei..wanachofanya sasa kuzuia yasiingie mengi japo libaki hilo hilo moja tu
 
Waarabu wazuri sana wanacheza kama wapo kwenye om ground yao...yanga ndo hivyo tena kushnei..wanachofanya sasa kuzuia yasiingie mengi japo libaki hilo hilo moja tu

Sujiui tutawaweza lini .....
 
Dak ya 24 hapa bado ngoma imelala kwa kandambili
 
Dak ya 24 hapa bado ngoma imelala kwa kandambili

Hawawezi kusonga mbele tena, wawafunge bao 5 kwa muda uliobaki. Nadhani hiyo mechi waitumie kama mazoezi ya kuja kupambana na Simba.
 
Hawawezi kusonga mbele tena, wawafunge bao 5 kwa muda uliobaki. Nadhani hiyo mechi waitumie kama mazoezi ya kuja kupambana na Simba.

Watoto wa kiarabu wanagonga pasi kama mtu unacheza draft vile hapa nakubaliana na kocha wa Yanga Kondic alipotoka misri alisema Wale watu mpira wao upo yuluuuu(juu) sana hana matumain sana ya kuwatoa but in futbal anything can happen ila sio kwa Al Ahly! wanatisha ..barakat...abou trika etc ..nomaa..
Kocha wa yanga anaweza kujifunza mengi katika mechi ya leo...
 
Mpira umekwisha hapa yanga kashukuru kwa kulala na kamoja hako
 
Poleni Yebo Yebo, sasa tubanane wote TZ, lakini sisi bado tuna kazi ya kutafuta nafasi ya pili.
 
Mpira umekwisha hapa yanga kashukuru kwa kulala na kamoja hako

Hongereni Yanga. Angalau safari hii timu imefanya vizuri (5-0) kuliko ile ya akina Amasha (8-0)
 
Poleni Yebo Yebo, sasa tubanane wote TZ, lakini sisi bado tuna kazi ya kutafuta nafasi ya pili.

Yea tuna kazi ila kwa ushindi wa Juzi zidi ya Azam nategemea tutaichukua tu...na hata tukikutana na yebo yebo tutabananae tu...even though leo wamejitahidi sana kuthibiti uwingi wa Magoli ya kufungwa..
 
Hongereni Yanga. Angalau safari hii timu imefanya vizuri (5-0) kuliko ile ya akina Amasha (8-0)
hahaha! bahati yako upo mbali nao vinginevyo ungepokea kwenzi hapo kama ungekuwa jiran na Yanga aliyekunywa maji ya bendera ya Chama!!
 
Sasa unaongopa, rekodi zipo mbona?
1982
cairo al ahly -5 young africa-0
dsm yaoung africa -1 al ahly-1
1988
dsm young africa-0 al ahly-0
cairo al ahly-4 young africa-0
sasa hapo 8-0 zimetoka wapi?
 
Back
Top Bottom