Babanadia
Member
- May 15, 2018
- 23
- 28
"Huwezi kumdharau mpinzani,tunafahamu ni timu nzuri ndiyo maana wamefika hapo walio, tunejiandaa vizuri lengo letu ni kushinda mchezo ili tuweke nafasi nzuri kwenye kundi,muhimu ni mashabiki kujitokeza kwa wingi ili tushinde pamoja na tuchukue pointi tatu pamoja"- Nadir Haroub.