Yanga vs Rivers United (0-1) | CAFCL | Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam

Yanga vs Rivers United (0-1) | CAFCL | Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam

Hahahaha wanachekesha Hawa Wana uto fc.... wanajinadi kisa wamenenepesha timu yao, wanasahau kuwa wao ni kama swala tu kamwe hata wakinenepa vipi hawawezi kuwa kama Tembo.
Walienda Moroco kula breakfast, lunch na dinner ya siku moja wakarudi eti tumetoka kambi
 
Nina mashaka sana na uwezo wa huyu kocha wa Yanga Nabi, nilimsikia majuzi alivyokuwa akiongea inaonekana alikuwa hajiamini ni kama alikuwa na tashwishwi na uwezo wa timu yake kufanya vizuri katika mechi ya leo.

Halafu Yanga wanafahamu wana mechi kubwa muhimu ya kimataifa lakini hata hawafanyi maandalizi yoyote ya maana, eti wanacheza mechi ya kujipima nguvu na timu ya Pan Afrika, kweli..!!

Yanga hawakujiandaa na haya mashindano na wanavuna walichokipanda. Wajipange tu kwenye ligi, hawana kitu kwenye haya mashindano ya kimataifa. They're a shame.
 
Mm sio mwana yanga ila yanga imeniharibia jion yangu.....

Still Tanzania BADO inakosa wachezaji aina yangu mm....siku Moja ntaweka uzi.. ..

I wish ningekua First 11 ya yanga leo....hakika furaha ingekua upande wetu.

Polen Sana yanga
Aah we jamaa hivi yanga ni ya kuipa dhamana iwe ni source ya kukupa faraja kweli?

Ebu kuwa serious mkuu, kwetu utachekwa
 
Ngoja tusubiri Remix ya huyu mdada,

1631463774556.png
 
Back
Top Bottom