Yanga Vs Simba weka ubashiri wako hapo (Correct score)

Yani Leo mapeeema tushachukua point tatu kwa mchumba yanga . maana sis no wanaume wa kazi ..anaebisha anyoshe kibamia juu
 
Hivi viroba si vimepigwa ban wakuu mbona kuna watu kama bado wana access na hivi vitu?
Kuipa yanga ushindi lazima unakunywa viroba.
Yanga anawangoa kama si kuwambandua, na hapo ndiyo utajuwa kumbe wee ni mtetea.
 
Leo simba hata mfunga yanga magoli mengi atamfunga goal 7 tu
 
Luninga gani itaonyesha mchezo "mubashara"? tafadhali...
 
Kwa hiyo ukaona Uchukue 4 ujumlishe na 1 ili upate zile TANO za waarabu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…