Yanga Vs Simba weka ubashiri wako hapo (Correct score)

Pamoja na ukali woote Simba Leo anawekwa Mimba mchana kweupeee
 
Mnawafunga waarabu kwa kuwachezesha kwenye jua kali(33 centigrade) USMA Algiers alikufa usiku Taifa
 
Kila ninavyokuona, unazidi kuishiwa busara!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda wasije uwanjani Leo, lakini kipigo chake anakijua mroto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…