Yanga Vs Simba zaingiza zaidi ya Millioni 300,Mgawanyo wa mapato huu hapa:

vilabu viwe na viwanja vyao ili viweze kujiongezea pato ,makato ni mengi mno..
 
VAT, TFF, BMT, DRFA ukiangalia kiundani hawa ni wamoja ila kila mtu anataka shea yake pekee.
 
Bodi ya Ligi ni chombo cha TFF kinapataje mgao!!, DRFA walitakiwa wapate asilimia 0.1 kwakua hawachangii chochote kwenye vilabu.TFF wanatakiwa wapate 0.1 kwakua hawasaidii chochote kwenye uendeshaji wa vilabu zaidi ya kupiga vilabu na viongozi penat. Kwa ujumla vilabu vinanyonywa kupita kiasi ukichukulia timu hazina udhamini pesa zenyewe zinaingia kwenye mifuko ya watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona vyoo vichafu sana kama mapato yenyewe ndio hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…