hizo ni asilimia tu ya mapato yaliyopatikana kama mechi ingeingiza pesa nyingi zaidi hiyo pesa ingepanda zaidisimba na yanga.fanyeni mpango muwe na viwanja vyenu.yaani uwanja unagharimu mil 41?
Sent using Jamii Forums mobile app
gharama za mchezo ni sh 19,215,175 ndo zipi hizo
Ndio maana nikasema asilimia 65 ya hizo million 300 zimetoka kwetu wana simbaSimba alikuwa mgeni, hajapata kitu. Na kwa jinsi mashabiki wa simba walivuojaza uwanja, yanga waishukuru simba.
Mtani huna jipyaaa nishakupigaaaa
hiyo ndo mechi inayotazamwa zaidi hapa TZ sasa nani afatilie Simba na Mbeya City au Yanga na Stand?? unawezakuta hizo mechi imeingiza milioni 2 nani afatilieMbona mechi nyinginezo hatuoneshwi mapato
Ni kwa mchina sio kwa mkapaYanga jengeni uwanja wenu hata wa watu 40,000.
Mtapiga pesa mno kuliko kwenda hapo kwa Mkapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu ya Mapato ya Simba na Yanga
Hii hapa
Mgawanyo wa mapato
VAT 52,295,338.98
Selcom 15,170,006.25
TFF 13,767,982.74
Uwanja 41,303,948.22
Young Africans 165,215,792.86
Gharama za mchezo 19,275,175.83
TPLB 24,782,368.93
BMT 2,753,596.55
DRFA 8,260,789.64
Mchezo namba 270 wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliozikutanisha Young Africans na Simba uliochezwa Jumamosi Februari 16,2019 kwenye Uwanja wa Taifa umeingiza jumla ya shilingi Milioni 342,825,000
Mchezo huo uliingiza jumla ya watazamaji 41,266
Sent using Jamii Forums mobile app
We unafikiri bila hivyo yule msomali atapata wapi nguvu za kujamba na kumtukana LissuYaaani TFF ni makukaji ,ni mamamba yaliyokaa kinywa wazi kungoja tumbo kujaa hewa.
Haiwezekani,TFF,bodi ya ligi,na drfa ambazo zote kimsingi ni chombo kimoja vijigawie mapato kwa namna hiyi.
Hapo,ingefaa hayo mapato ya TFF ndio yakatwe zingine ziende bodi ya ligi na drfa au bodi ya ligi ambao ndio waandaaji was mechi katika mgao wao ndio wazipe TFF na hiyo drfa.
Then najiuliza tu haya mambo ya makato yapo kwa mechi zotee au ni kwa simba na yanga tu.
Maana nashindwa kuelewa katika mechi may be jkt na kmc kama makato hayo yanakuwepo.
TFF acheni kuchumia tumbo,bodi ya ligi acheni kuifanya ligi kuu kama kitega uchumi chenu .
Then hao selcom nao ni Bomu tu,haohao kwa kushirikiana na wafanyakazi wao wamekuwa wakizihujunu hizi klabu kwa kulangua tiketi za match.
Nao in jipuuu,klabu ziungane zikatae kufanya kazi na hao majizi,itafutwe kampuni nyingine yenye weledi na ufanisi wa kudeal na jambo hill.
Huyo ni mama Janet asikupe tabu.wewe jamaa utakuwa na ugonjwa mpya wa umagufuli.
moja ya dalili za ugonjwa huo.
ni kulitaja jina la magufuli hata pasipo itajika litajike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wakijenga uwanja wao makato ya VAT, TFF,BODI YA LIGI, BMT,DRFA, SELCOM (inaweza ikawa kampuni nyingine) gharama za mchezo bado ziko pale paleYanga jengeni uwanja wenu hata wa watu 40,000.
Mtapiga pesa mno kuliko kwenda hapo kwa Mkapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Si tumewaokoa kwenye umasikini ombaomba nyinyi...wiki hili mtapunguza kutembeza bakuli