Yanga Vs Zahera

Yanga Vs Zahera

huko kwenu vipi

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2015
Posts
1,520
Reaction score
1,462
Habarini za asubuhi wanajamvi.....
Timu ya Clabu ya Yanga imeachana rasmi na kocha wao Papa Mwinyi Zahera hivi karibuni,

Lakin inaonekana kama Papa Mwinyi Zahera mutu ya Kongo hajakubaliana na hukumu hiyo hali ilimyofanya aende kwenye media kuwasha moto...

Kwanini Huyu Zahera anaing'ang'ania Yanga? Kuna nini? Hivi akikuajiri then akakufukuza utang'ang'ania kuwepo pale?

Bila shaka Mwinyi Zahera ni mpigaji na niwashukuru Yanga wamegundua mapema,ndo maana muda wote anawaweka Bench Balinya,Sibomana kisa tu hakuwasajili yeye anamchezesha Bonge aka Molinga ili amuuze lakin Yanga wamegundua mapema mchezo huo...

Chini ya huyu kocha wala timu ya Yanga isingeweza kufika popote hata na hivo hawezi kufika popote kwa sasa kwa sababu ni timu mbovu kuwahi kutokea kwenye ligi kuu,

Hata aje PEO GUDIOLA kama Yanga hawatobadilisha mfumo wa uendeshaji wa timu basi hawatokuja kupata kombe lolote Tanzaniaaaaaaaa

Yanga ni timu mbovu sanaaa,

Msolla nae anashindwa kufanya transformation ya Timu?

Waende kwenye mfumo tunaotumia Simba,

Raha tunayoipata SIMBA kwanini na ninyi Vyura msiipate?

Hakuna timu iliyowahi kupata mafanikio duniani ikiwa chini ya wananchi,nasema hakuna!!!!!!!!!!!!!

Raha ya sisi mashabiki ni matokeo,sijui MO anakula hela sijui anafanyaje mimi wala sitojali nachoangalia ni raha tu....
 
Habarini za asubuhi wanajamvi.....
Timu ya Clabu ya Yanga imeachana rasmi na kocha wao Papa Mwinyi Zahera hivi karibuni,

Lakin inaonekana kama Papa Mwinyi Zahera mutu ya Kongo hajakubaliana na hukumu hiyo hali ilimyofanya aende kwenye media kuwasha moto...

Kwanini Huyu Zahera anaing'ang'ania Yanga? Kuna nini? Hivi akikuajiri then akakufukuza utang'ang'ania kuwepo pale?

Bila shaka Mwinyi Zahera ni mpigaji na niwashukuru Yanga wamegundua mapema,ndo maana muda wote anawaweka Bench Balinya,Sibomana kisa tu hakuwasajili yeye anamchezesha Bonge aka Molinga ili amuuze lakin Yanga wamegundua mapema mchezo huo...

Chini ya huyu kocha wala timu ya Yanga isingeweza kufika popote hata na hivo hawezi kufika popote kwa sasa kwa sababu ni timu mbovu kuwahi kutokea kwenye ligi kuu,

Hata aje PEO GUDIOLA kama Yanga hawatobadilisha mfumo wa uendeshaji wa timu basi hawatokuja kupata kombe lolote Tanzaniaaaaaaaa

Yanga ni timu mbovu sanaaa,

Msolla nae anashindwa kufanya transformation ya Timu?

Waende kwenye mfumo tunaotumia Simba,

Raha tunayoipata SIMBA kwanini na ninyi Vyura msiipate?

Hakuna timu iliyowahi kupata mafanikio duniani ikiwa chini ya wananchi,nasema hakuna!!!!!!!!!!!!!

Raha ya sisi mashabiki ni matokeo,sijui MO anakula hela sijui anafanyaje mimi wala sitojali nachoangalia ni raha tu....
Things fall Apart
 
SIMBA haina ubora wowote zaidi ya kushinda kwa rushwa, inacheza hovyo hovyo tu, ni suala la muda kabla hawajaanza kutimuana. mfumo wa kumtegemea mtu mmoja MO aiendeshe timu ni mfumo mbovu sana, anafanya atakavyo, anaitumia simba kutangaza biashara zake bure, siku akiichoka atawaacha mnashangaa , mfumo wa Yanga ni mzuri sana hakuna mtu mwenye sauti zaidi ya wanachama!
 
BARCELONA , REAL MADRID, BAYERN MUNICH, hizo zote ni team za wananchi kama YANGA

Unafananisha ulaya na Tanzania?

Kweli Yanga mmepanic hadi kuja kufananisha Vyura na Barcelona,Real Madrid na Bayern Munich??
 
SIMBA haina ubora wowote zaidi ya kushinda kwa rushwa, inacheza hovyo hovyo tu, ni suala la muda kabla hawajaanza kutimuana. mfumo wa kumtegemea mtu mmoja MO aiendeshe timu ni mfumo mbovu sana, anafanya atakavyo, anaitumia simba kutangaza biashara zake bure, siku akiichoka atawaacha mnashangaa , mfumo wa Yanga ni mzuri sana hakuna mtu mwenye sauti zaidi ya wanachama!


Kwa hiyo Mechi dhidi ya Ud songo,Mwandui na T Prison ni rushwa?


Afanye atakavyo lakin si timu inshinda?
 
Mwaka jana kuna mbinu chafu sana Mikia waliitumia ya kupulizia sumu kwenye vyumba pinzani, hata hivyo wakienda AWAY ambako hawawezi kupulizia sumu, wanatandikwa HAMSA kama wamesimama! Mwaka huu mbinu hiyo hawajaanza kuitumia hata Mwadui anajipigia!
SIMBA haina ubora wowote zaidi ya kushinda kwa rushwa, inacheza hovyo hovyo tu, ni suala la muda kabla hawajaanza kutimuana. mfumo wa kumtegemea mtu mmoja MO aiendeshe timu ni mfumo mbovu sana, anafanya atakavyo, anaitumia simba kutangaza biashara zake bure, siku akiichoka atawaacha mnashangaa , mfumo wa Yanga ni mzuri sana hakuna mtu mwenye sauti zaidi ya wanachama!
 
Back
Top Bottom