Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Naumis ubora wa Press Conference za Someone Ten kabla hajaondokaKuna member alisema Haji na Bumbuli wanagombana... Lakini alipigwa kwa hili.
Kuna wakati si kupinga kila kitu yaani
Usitarajie kubadilika kwa chochote hapo, amenunuliwa kwa kazi hiyoNaumis ubora wa Press Conference za Someone Ten kabla hajaondoka
.
Press zetu nyingi zimejaa mambo binafsi kuliko kuzungumza kile ambacho team inaenda Kufanya.
.
Bumbuli na watu wake wabadilike
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ww ushaachana na Demu kila ukipata forum unamzungumzia kila kukicha Huu ni Udhaifu MwingineUsitarajie kubadilika kwa chochote hapo, amenunuliwa kwa kazi hiyo
Ndo maana hata mabosi wake hawawezi kujitenga na Kauli zake, hata akidanganya umma kuwa Yanga anaanza round ya pili Klabu Bingwa Afrika.
Huyo ni mhamasishaji wa timu na siyo msemajiKwa Sasa Yanga Kumekuwa na Press Conference nyingi sana.
.
Hivi Msemaji wa Yanga Anapitisha PRess conference kuzungumza haya?.
.
Anachokifanya huyo bwn ni kuwatisha waandishi wanaogopa hata kumuuliza maswali ukimbana na swali ww adui mambo ya hovyo sana.
.
Mimi ni Yanga Ila Huu Upuuzi Hapana.View attachment 2204004
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mke uliyempa taraka kwa hiyari yako atakutesaje mkuu zaidi ya yeye kuteseka?Bugatti ni level nyingine,anawatesa sana Makolo