Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Kwa Sasa Yanga Kumekuwa na Press Conference nyingi sana.
.
Hivi Msemaji wa Yanga Anapitisha PRess conference kuzungumza haya?.
.
Anachokifanya huyo bwn ni kuwatisha waandishi wanaogopa hata kumuuliza maswali ukimbana na swali ww adui mambo ya hovyo sana.
.
Mimi ni Yanga Ila Huu Upuuzi Hapana.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
.
Hivi Msemaji wa Yanga Anapitisha PRess conference kuzungumza haya?.
.
Anachokifanya huyo bwn ni kuwatisha waandishi wanaogopa hata kumuuliza maswali ukimbana na swali ww adui mambo ya hovyo sana.
.
Mimi ni Yanga Ila Huu Upuuzi Hapana.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app