Yanga waanza kukiona chamoto nchini TUNISIA

Dupe

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2013
Posts
1,668
Reaction score
811
Klabu ya Dar es Salaam Young Africa (Yanga) imeanza kukiona chamoto nchini Tunis mara baada ya kufika na kukaa airport masaa 2 bila kuja kupokelewa na wenyeji wao, mara baada kufuatwa walipata changamoto ya uwanja kwani walinyimwa uwanja hata wa kufanyia mazoezi hivo kushindwa kujiweka sawa.

Chanzo cha habar ni jamaa yangu ambae anakipiga klabuni hapo
 
Hizi habari za kweli au ni maneno ya mikia?
 
kichwa cha habari kingekuwa yanga waanza kujihami mapema maana wanajua kabisa wanaenda kutimiza wajibu ila wanawajenga kisaikolojia washabiki wao kuwa wakifungwa ni kwa sababu ya mambo waliyofanyiwa nje ya uwanja
 

tatizo liko wap kwani ww hujawah kucheleweshwa tena ww ndo unaongoza kwa kuwa nje ya muda
 
Bado sijaelewa, wenyeji wao kina nani sasa?
 
Bado ujanijibu swali langu, wenyeji wa Yanga ndio nani?

we una kichwa kigumu sana............. ngoja nijaribu kukueleza japo kwa ufupi labda utaelewa!!.. YANGA WAMESAFIRI KWENDA TUNISIA KUCHEZA MCHEZO WA KIMATAIFA NA ETOIL DU SAHEL YA NCHINI HUMO.... HIVYO YANGA NI WAGENI NA ETOILE DU SAHEL NI WENYEJI.
 

Hii Habari Si Ya Jana Mkuu? Tumeshaichoka Na Imetukinai Hebu Tupe Updates Za Leo Na Sasa!
 
we una kichwa kigumu sana............. ngoja nijaribu kukueleza japo kwa ufupi labda utaelewa!!.. YANGA WAMESAFIRI KWENDA TUNISIA KUCHEZA MCHEZO WA KIMATAIFA NA ETOIL DU SAHEL YA NCHINI HUMO.... HIVYO YANGA NI WAGENI NA ETOILE DU SAHEL NI WENYEJI.

Habari za kimagumashi hizi, Kwa hiyo Etoile Du Sahel, ndio walitakiwa kuja kuwapokea Yanga airport?
 
mimi ni yanga, lakini pamoja na yote kimpira hatuwawezi hao etoile du sahel, tumeona apa walivokuja bongo, jamaa wanapiga mbungi balaaaaa......kutufanyia vitimbi m naona wanatuonea tu mana kimpira hatuwawezi ata tufanyaje.
 
Nijua wamewanyima. condom. hilothu. Wooiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…