Dupe
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 1,668
- 811
Klabu ya Dar es Salaam Young Africa (Yanga) imeanza kukiona chamoto nchini Tunis mara baada ya kufika na kukaa airport masaa 2 bila kuja kupokelewa na wenyeji wao, mara baada kufuatwa walipata changamoto ya uwanja kwani walinyimwa uwanja hata wa kufanyia mazoezi hivo kushindwa kujiweka sawa.
Chanzo cha habar ni jamaa yangu ambae anakipiga klabuni hapo
Chanzo cha habar ni jamaa yangu ambae anakipiga klabuni hapo