Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,385
- 10,659
...naona Mkiti wao Mshindo Msolla kawasihi wanna Yanga kuichangia timu ili kufanikisha usajili wa nyota wengine wawili.
Hii tabia tegemezi itaua timu zetu asee!
Poleni watani, nyie igeni tu kun.ya kwa tembo! Na yule Senzo gharama zake zitawagharimu Sana Kama mlishindwa kumlipia DSTV kocha wenu mholanzi hiyo mighalama ya wachezaji+Senzo mtaweza???
Hii tabia tegemezi itaua timu zetu asee!
Poleni watani, nyie igeni tu kun.ya kwa tembo! Na yule Senzo gharama zake zitawagharimu Sana Kama mlishindwa kumlipia DSTV kocha wenu mholanzi hiyo mighalama ya wachezaji+Senzo mtaweza???