inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ni kwa sababu Libya,washindani wetu wa karibu kwenye hizo point za caf,hawakufanya vizuriHapa umekosea, kwani mwaka jana mlivuta angalau kufika kucheza hatua za mchujo!? Je timu nne hazikwenda? Aliyezipeleka timu nne mwaka huu na mwaka kesho atazipeleka tena.
Pesa inayopatikana huku caf ni zaidi ha huo ubingwa wenu wa nbc , kupanga ni kuchagua.Yanga bingwa mtetezi na anaiongoza ligi,hao wenye point nyingi caf kwa nini si mabingwa na hawaongozi ligi
Ngoja nikuongezee na points nyingine ambazo umezisahauYanga bingwa mtetezi na anaiongoza ligi,hao wenye point nyingi caf kwa nini si mabingwa na hawaongozi ligi
Unahangaika na unbeaten au ubora wa yanga na Simba!?...mipenati mingapi mikia mmepewa!?..magoli mangapi yanga ikikataliwa illegally!?..Simba inashindwa nini kuvunja unbeaten ya yanga!?Ngoja nikuongezee na points nyingine ambazo umezisahau
Yanga bingwa mtetezi akiwa unbeaten bila kupoteza mechi yeyote
Yanga kamfunga Simba mara nyingi zaidi
Yanga kachukua makombe mengi ya ndani kuliko Simba
Kwa tafsiri hiyo kama tungefanya makadirio ya kuweza kujua ni umbali gani kati ya hizi Club mbili zinaweza kufika katika mashindano ya kimataifa
Kwa kuangalia tu mwenendo wa Simba na Yanga katika ligi kuu kabla ya mashindano hayajaanza ungeambiwa uchange karata ya kumpa advantage mmoja ya kuwa na ushiriki mzuri kimataifa lazima kura nyingi zingeenda kwa Yanga
Lakini ukweli upo kinyume chake
Unbeaten ya Yanga imechangiwa na vitu vingi ambavyo ni illegal kwenye soka na ndio maana michuano kama hii inaashinda
Point ya kijingaPesa inayopatikana huku caf ni zaidi ha huo ubingwa wenu wa nbc , kupanga ni kuchagua.
Wewe mwenye bigirimana, aziza ki, joisi, mayele, jigi, shabani juma na makolo wengine tena wa kujiita usajili wa maana mmeishia wapi ahahaaaaUende fainali na mzamiru babu!!
Point ya kijinga kuliko ile ya utopolo wanauliza eti kama kuna kombe la kuingia makundi au robo fainali??Point ya kijinga
View attachment 2404537
Al Ahly ambaye kwenye group niliongoza mimi kwa points
Niambie na wewe ni lini ulifika makundi?
Nipe rekodi yeyote hata ya uongo kama ipo insyokuonesha upo kwenye group ns Al Ahly na unaongoza wewe
Unaleta masuala ya kitoto ya vyuo wakati sisi tunaongelea maisha
Endelea kuona ujinga ila mileage ya simba nje ya Tanzania imekua kubwa na ya manufaa sana.Point ya kijinga