Yanga wadai walipuliziwa dawa ya usingizi


Kwa hiyo wewe ulitaka wafe kabisa hata wasiweze kuamka? Au ulitaka wapelekwe ICU hata uwanjani wasiingie?

Unapashwa kutafakari kabla hujaropoka hapa.
 
mwanzo umetaka evidence nme kupa sasa iv unaleta porojo za maradona umehamisha maada tena, unataka kuniambia Brazil hua inabebwa hata wachezaji nyota wa ki Brazil wote walio tapakaa league mbali duniani wame bebwa c ndio?
 
mwanzo umetaka evidence nme kupa sasa iv unaleta porojo za maradona umehamisha maada tena, unataka kuniambia Brazil hua inabebwa hata wachezaji nyota wa ki Brazil wote walio tapakaa league mbali duniani wame bebwa c ndio?

So untaka kuniambia chochote kinachomekiwa na mzungu unaamini? Ingia google now andika chochote kile utakachopenda kitakuijia hata cha uongo kitakuijia tu, sasa hiyo link umeiamini vipi kama ni ya ukweli? Na ndio maana nikakuomba evidence nikajua utaniletea uchafu tu! acha ushamba ndugu yangu,
 
leta wako usio toka Google, kanjanja mkubwa
 
Sasa yanga wanasema wewe unabishi au wewe ndiye ulipuliza hiyo dawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…