Yanga wafanye nini ili wapate ubingwa msimu ujao

Yanga imepitia kipindi kigumu sana,hii ni kutokana na hujuma za nje na ndani ya uwanja.Hali hii ilipelekea YANGA kutishia kugomea ligi,nakiri kwamba T.F.F. iliwatoa mchezoni.
Hujuma kama zipi mkuu embu tutoe tongotongo na sisi tupate kujua brother
 
Wanakuja tena wanasajili wachezaji 20 wapya,halafu washindane na Simba itakayoacha wachezaji wachache tu wanaokaa benchi. Timu ina wachezaji wamekuwa pamoja mpaka wamefanana sura na tabia
Hahaha ndio linalo enda kutokea....
 
Waachane na Mze Mpili, pia waachane kabisa na masuala ya uchawi maana wamezidi jamani. Umeona wapi timu yote inadhaminiwa uchawi na serikali ya CCM, viongozi wa CCM wanaitafutia timu wachawi.....si ujinga huu?
Waachane na mzee mpili wakati mzee kawapa ushindi game ya dabi
 
Ligi ni timu zote zinazo shiriki kwenye ligi nakubariana na wewe lakini hapa kwetu utani ,uhasimu na ushindani mkubwa uko kati ya hizo timu 2 siwezi kuja kuizungumzia azam yenye kombe moja kaka ...
 
Yanga imepitia kipindi kigumu sana,hii ni kutokana na hujuma za nje na ndani ya uwanja.Hali hii ilipelekea YANGA kutishia kugomea ligi,nakiri kwamba T.F.F. iliwatoa mchezoni.
Swali linauliza kuhusu msimu ujao. Malalamiko yamewajaa kichwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…