We jamaa inaonekana hujui lolote katika soka, kwenye mpira wa miguu hakuna pointi mbili na Tff hawana ubavu wa kunyang'anya Yanga point yoyote.Katika mechi yao leo na KMC. Yanga wamevaa jezi isiyokuwa na nembo ya ya mdhamini tofauti na timu nyingine kama tulivyoona katika mechi nyingine zilichezwa leo.
Wadau wengi wa soka tunasubiri kusikia kauli ya TFF. Kwani hili ni tukio kubwa saana kwa mustakabari wa soka letu.
Kuna mtu kaniuma sikio kuwa wanastahili kunyan'gaywa point mbili na goli mbili ahaaa
Kwa nini unateseka? Kulikoni kwani?Katika mechi yao leo na KMC. Yanga wamevaa jezi isiyokuwa na nembo ya ya mdhamini tofauti na timu nyingine kama tulivyoona katika mechi nyingine zilichezwa leo.
Wadau wengi wa soka tunasubiri kusikia kauli ya TFF. Kwani hili ni tukio kubwa saana kwa mustakabari wa soka letu.
Kuna mtu kaniuma sikio kuwa wanastahili kunyan'gaywa point mbili na goli mbili ahaaa
Ni upuuzi tu , na ndio maana mtabakia hivyo hivyo tu, soka la nchi hii kuja kuendelea nilazima, timu hizi za wapuuzi zifr.Katiba ya yanga inakataa matumizi ya nembo yoyote yenye rangi nyekundu…………..!
Mchawi mkuu wa maendeleo ya soka la Bongo ni uswahili na ujuaji wa Simba na YangaKatika mechi yao leo na KMC. Yanga wamevaa jezi isiyokuwa na nembo ya ya mdhamini tofauti na timu nyingine kama tulivyoona katika mechi nyingine zilichezwa leo.
Wadau wengi wa soka tunasubiri kusikia kauli ya TFF. Kwani hili ni tukio kubwa saana kwa mustakabari wa soka letu.
Kuna mtu kaniuma sikio kuwa wanastahili kunyan'gaywa point mbili na goli mbili ahaaa
Wabaki na point moja na goli zeroKatika mechi yao leo na KMC. Yanga wamevaa jezi isiyokuwa na nembo ya ya mdhamini tofauti na timu nyingine kama tulivyoona katika mechi nyingine zilichezwa leo.
Wadau wengi wa soka tunasubiri kusikia kauli ya TFF. Kwani hili ni tukio kubwa saana kwa mustakabari wa soka letu.
Kuna mtu kaniuma sikio kuwa wanastahili kunyan'gaywa point mbili na goli mbili ahaaa
Walishawaambia TFF kuwa jezi walinunua kabla mdhamini hajapatikana na hawana pesa ya kununua nyingineKatika mechi yao leo na KMC. Yanga wamevaa jezi isiyokuwa na nembo ya ya mdhamini tofauti na timu nyingine kama tulivyoona katika mechi nyingine zilichezwa leo.
Wadau wengi wa soka tunasubiri kusikia kauli ya TFF. Kwani hili ni tukio kubwa saana kwa mustakabari wa soka letu.
Kuna mtu kaniuma sikio kuwa wanastahili kunyan'gaywa point mbili na goli mbili ahaaa
Si wana twiga wao ana rangi ya kijani?Mganga wao kasema
Yanga ni timu ya Wananchi! Na hivyo itaendelea kubakia kuwa mali ya Wananchi!Mdhamini ndo msemaji wa mwisho, timua hao nyang'au wasambaratike wapoteane kama genge la kunguni limeona mwanga