Yanga Wahamasisha Wazanzibari 'Watembelee' Zanzibari

Yanga Wahamasisha Wazanzibari 'Watembelee' Zanzibari

kinje ketile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
5,089
Reaction score
9,664
Bila Kujari Matokeo...!

Kipute ni Kati Ya KMKM na Dar Young Africa, hii ni friend Match...!

Maofisa Wa Yanga Wakiongozwa na Injinia Hersi na Senzo Wameonekana Wametinga Ule Uzi ulioweka Rekodi Ya Kuwa Uzi wenye Mkataba Mfupi sana Kuwahi kutokea Duniani.

Mkataba ulidumu Kwa muda Wa Siku 7 tu kama sio Wiki 2.

Lengo Kuu ilikuwa Kuhamasisha Wageni huko nje ya Nchi watembelee Zanzibar Wakati huo Dar Africa ikiwa inashiriki mechi za Kimataifa.

Sasa Kuliko Kukosa Wazanzibari ...Changamkieni hiyo fursa....hawa maafisa Wa Yanga Wameona mbali Sana.
 
utalii wa ndani una Tatizo? Hata watu wa bara wanaweza kutembelea Zanzibar na kuikuza Zanzibar kiuchumi. Ila makenge hamwezi kuelewa
 
Mtu atoke Mlandege atokezee Malindi halafu atinge Forodhani apindue darajani apitie Ubuyu Kwa Babu Issa Afu Aende Michenzani huyooo Kariakoo Aingie Uwanja Wa Amani...!VISIT ZANZIBAR.

Mechi moja tu na Rivers ndani ya Mkataba.....! Waziri wa Maliasili na Utalii Kajuta Kuandikisha mkataba na Utopolo.

Ni mimi wenu Kolo kolo. Kama unalo Kolo kolo lingine lenye Fwezwaaa...niletee.
 
Sasa hivi kila mmoja amekuwa comedian.
Siku tukiwa serious ndipo maendeleo ya mpira yatakapopatikana.
 
Back
Top Bottom