Yanga wainyuka Azam FC bao moja sifuri

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Yanga 1 Azam O

Ni kijana Mzambia Akiwa hajawahi kuonekana amenyoa upara ila leo Akiwa na mwonekano wa Kipara pale uwanjani Ameisaidia timu yake Ya Yanga kushinda Goli 1 dhidi ya Wanalambalamba wa Azam waliondoka na Sifuri.

Hongera Yanga kwa kushinda Mtihani huu Mkubwa katika harakati za kutetea ubingwa wenu.
 
My team
 
This is the best team in VPL so far no discussion..... but the man said he will score and he has made it big up my team..... Kombe letu tu
 
Katika magumu na mepesi Yanga itabaki ni timu yangu ninayoipenda katika maisha yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…