Yanga wajiandae kupoteza mchezo dhidi ya Simba, goli ni watakazofungwa ni kuanzia 3

Yanga wajiandae kupoteza mchezo dhidi ya Simba, goli ni watakazofungwa ni kuanzia 3

Yanga wanakikosi kizuri sana kwa sasa lakini kuna jambo ambalo linaweza kuwapata likaacha watu wengi midomo wazi. Mimi binafsi naoma Yanga wakipoteza kwa Simba goli 3 kwa 0 na wanaweza kufungwa goli nyingi zaidi. Na ikitokea wakafunga goli basi ni dakika za majeruhi na kwa tabu sana.

Hawatakiwi kuingia uwanjani na matokeo .
Huo ni uganga wa kienyeji. Kuna analysis yoyote ya kuonesha kwanini Yanga wafungwe au hisia zako tu?
 
Yanga wanakikosi kizuri sana kwa sasa lakini kuna jambo ambalo linaweza kuwapata likaacha watu wengi midomo wazi. Mimi binafsi naoma Yanga wakipoteza kwa Simba goli 3 kwa 0 na wanaweza kufungwa goli nyingi zaidi. Na ikitokea wakafunga goli basi ni dakika za majeruhi na kwa tabu sana.

Hawatakiwi kuingia uwanjani na matokeo .
Sawa Mkuu wa watabiri
 
Yanga wanakikosi kizuri sana kwa sasa lakini kuna jambo ambalo linaweza kuwapata likaacha watu wengi midomo wazi. Mimi binafsi naoma Yanga wakipoteza kwa Simba goli 3 kwa 0 na wanaweza kufungwa goli nyingi zaidi. Na ikitokea wakafunga goli basi ni dakika za majeruhi na kwa tabu sana.

Hawatakiwi kuingia uwanjani na matokeo .
Sawa ndugu Fulltime tusubiri muda.
 
Takwimu za Makaratasi zinaibeba Yanga, tukifungwa itakuwa ni matokeo tu ya mpira.
 
Back
Top Bottom