Eti wanataka na wakulima wapate nafasi ya kuona mpira.Sijaelewa sababu ya FA kuchezwa viwanja vya ajabu ajabu
Ratiba ya msimu huu wa ligi na FA imewafaidisha sana Yanga maana karibu mechi zote anacheza siku moja baada ya Simba.Ukiangalia ratiba ya CAF bora Yanga wakamalize mechi zote Singida. Kwanza Singida ni mtoto waooo atwaachia tu.
Ikitokea wamefuzu kucheza fainali kuna mechi za home and away tar 28 mei na tar 02 juni kwa hiyo kuacha kucheza hiyo mechi ya FA itaharibu ratiba ya FA lakini pia wao itawapa ugumu wa kusafiri kwenda Singida tena.
Ushauri kama marumo wana mechi jumatano na jumamosi na wanasafari ya kuja TZ why not Yanga wasicheze jumapili saa 9 gemu ikiisha wasafiri kuja Dar jumatatu na jumanne wanajiandaa.
Upumbavu tu, Inatakiwa mpira usiwe na siasa mechi ichezwe kwenye mashabiki wengiEti wanataka na wakulima wapate nafasi ya kuona mpira.
Mfano final ya FA inaenda kuchezwa mkwakwani, Tanga..wakati ingechezwa Dar uwanja ni mkubwa mapato yangekuwa makubwa zaidi..Upumbavu tu, Inatakiwa mpira usiwe na siasa mechi ichezwe kwenye mashabiki wengi
TFF haipo ki biashara bali ki siasa zaidi...wao haiwahusu timu kugawana hasara kwasababu ya gharama ya uendeshaji bali wao wanaona mafanikio yao ni kuwafurahisha wanasiasa.Mfano final ya FA inaenda kuchezwa mkwakwani, Tanga..wakati ingechezwa Dar uwanja ni mkubwa mapato yangekuwa makubwa zaidi..