Yanga wakianza na Kikosi hiki matokeo ni lazima

Hii nchi sasa uhuru umezidi.
 
Tatizo kubwa kwa Yanga ni mabeki kwani kuna wakati wanapwaya sana na hii ndio itawaua na leo pia.

Vilevile kipa Diarra anakuwa na mchecheto wa kutoka golini mara kwa mara timu inaposhambuliwa hali ambayo inafanya kufungwa inakuwa rahisi sana.

Aziz Ki asicheze kwani amekuwa mbovu sana kwa sasa na anapoteza sana mipira.
 
MPIRA una MATOKEO Matatu.

YANGA Lazima wapate
Kufunga
KUFUNGWA
SARE.

HII SI MECHI YA MAJARIBIO KWA WACHEZAJI HII NI FAINALI.

Tangu lini JUMA Shaban akacheza 8
Hiyo pumzi ya kiuongo unajijua unaisikia.
Huyo Romalisa tangu lini akacheza No 7
Angalau ungesema 11.

Job Leo hawezi kuwepo,
ANATUMIKIA ADHABU ya Kadi.

KWANZA HUJUI MPIRA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…