- Namba 1 Diara
- Namba 2 Kibwana
- Namba 3 Job
- Namba 4 Bacca
- Namba 5 Bakari
- Namba 6 Bangala
Namba 7 lomalisa. Namuweka lomalisa hapa kwa sababu mechi hii inahitaji watu ambao wanajua kupiga dribble vizuri ili kupenyeza mipira kwenda kwa Mayele kutokana na kukajaa kwa mabeki wa USM Alger nyuma leo hawatawapa Yanga nafasi ya kukimbia na mpira sana.
Kwa hiyo kunahitajika mtu ambaye anajua ku dribble, kucheza hapa Moloko na Kisinda sio wazuri kwa dribble.
- Namba 8 Djuma Shaban. Kwa Juma Shabani naye ni hivyo hivy, nafikiri hapa panamtosha. Hata kama sio sehemu sahihi yake ya kucheza, ila kwasababu ya utulivu wake na dribble zake anaweza kuwa anatoa pasi nzuri akiwa hapa.
-Namba 9 Mayele
- Namba 10 Musonda
- Namba 11 Morrison