Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,385
- 10,659
....ushindi wa Yanga waweza kuwa hivi:
Dk ya 2, Wanapata goal, dk ya 45 wanapata la pili....wkt waarabu wanashambulia, inapigwa Counter dk ya 73, Utopwinyo wanapata goal la 3 mpk mpira unaisha.
Asee hii nchi sie WanaSimba tutajificha wapi....Pale Uwanja wa Ndege nyomi itakua kubwa balaa, yaani hiyo fujo NEMC watakodi hata nchi jirani, watachemka kuizima!
....Utopolo watateka barabara zote kwa mashangilio....
Hii ndoto isiwe kweli tu ili Amani itawale!
Dk ya 2, Wanapata goal, dk ya 45 wanapata la pili....wkt waarabu wanashambulia, inapigwa Counter dk ya 73, Utopwinyo wanapata goal la 3 mpk mpira unaisha.
Asee hii nchi sie WanaSimba tutajificha wapi....Pale Uwanja wa Ndege nyomi itakua kubwa balaa, yaani hiyo fujo NEMC watakodi hata nchi jirani, watachemka kuizima!
....Utopolo watateka barabara zote kwa mashangilio....
Hii ndoto isiwe kweli tu ili Amani itawale!