Tetesi: Yanga Walambishwa Asali kwa Kisu, Feitoto kutimkia Simba SC

Tetesi: Yanga Walambishwa Asali kwa Kisu, Feitoto kutimkia Simba SC

Nshomile wa Muleba

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2015
Posts
2,166
Reaction score
5,620
Jambo Jambo?

Yanga walilambishwa asali kwa Kisu, Favor zikazidi wakajiona wao ndo wenye nchi na wananchi, kumbe Hangaya ni mtu wa strategy.

Siku zote ukitaka kumtuma Mbwa lazima umtupie mifupa miwili mitatu, kuna ile kauli ambayo si nzuri inayotumika mtaani inasema

“Ukikubali kuolewa Sharti ulale mapaja wazi huku umemanuaaa mwanuuuuu”

Sasa Nimetoka kuongea na Jamaa yangu wa karibu ambaye ni kiongozi Simba SC anasema mazungumzo na Fei toto yamepamba moto, na Dau walilompa simba ni kubwa kuzidi walamba koni na marupurupu kibao, Yanga wakimuachilia (Na lazima wamuachie) rasmi anatimkia wekundu wa msimbazi.

Daaah hapa Chama, Hapa zanzibar finest mbele mslovakia.Maneeenah sijui watatuambia nini.

SIMBA NI WACHOKOZI SIGHNING FEE WALIOMPA FEITOTO NI 612 MILLION

yani Akiwapa Yanga 100 yao na mishahara miezi 3 jumla ya 112 million Dogo anabaki na 500Million ya Chenji
Unaambiwa mshahara watakaomlipa feitoto kwa mwezi Ni balaa unaweza ukawalipa mayele na morisson miezi 3 na chenji Juu.

Eng.Hersi na Yanga Akichimama nchale,Akikaa nchale[emoji23] wamebugia kiazi cha moto wanachezesha midomo tu.

42d9f36d-4852-4600-a07f-2d82c0c900a2.jpg


Picha haihusiani na Topic.

Nshomile
Kwasasa
Dar es salaam.
 
Feisal hana maajabu kivile wakuu, tusimpambe sana wakati he's just average. Yanga wakubali kuwa kauli ya Raisi ni sheria, japo serikali haitakiwi kuingilia mpira ila kama ni busara sawa tu, japo pia asije kutokea Feisal mwingine tukarudi kule kule.

Bila yeye wananchi wamefika fainali, muhimu kijana apewe nafasi aendelee kutafuta maisha, ila ajue kufuata sheria, soccer is one of those careers ambazo at 35 you're done.
 
Jambo Jambo?

Yanga walilambishwa asali kwa Kisu, Favor zikazidi wakajiona wao ndo wenye nchi na wananchi,Kumbe Hangaya ni mtu wa strategy.

Siku zote ukitaka kumtuma Mbwa lazima umtupie mifupa miwili mitatu,Kuna ile kauli ambayo si nzuri inayotumika mtaani inasema

“Ukikubali kuolewa Sharti ulale mapaja wazi huku umemanuaaa mwanuuuuu”

Sasa Nimetoka kuongea na Jamaa yangu wa karibu ambaye ni kiongozi Simba SC anasema mazungumzo na Fei toto yamepamba moto, na Dau walilompa simba ni kubwa kuzidi walamba koni na marupurupu kibao, Yanga wakimuachilia (Na lazima wamuachie) rasmi anatimkia wekundu wa msimbazi.

Daaah hapa Chama, Hapa zanzibar finest mbele mslovakia.Maneeenah sijui watatuambia nini.


SIMBA NI WACHOKOZI SIGHNING FEE WALIOMPA FEITOTO NI 612 MILLION

yani Akiwapa Yanga 100 yao na mishahara miezi 3 jumla ya 112 million Dogo anabaki na 500Million ya Chenji
Unaambiwa mshahara watakaomlipa feitoto kwa mwezi Ni balaa unaweza ukawalipa mayele na morisson miezi 3 na chenji Juu.

Eng.Hersi na Yanga Akichimama nchale,Akikaa nchale[emoji23] wamebugia kiazi cha moto wanachezesha midomo tu.

View attachment 2647623

Picha haihusiani na Topic.

Nshomile
Kwasasa
Dar es salaam.
Kweli wewe ni bogus kabisa, na mabogus kama nyie ndio mnaofanya hili suala liendelee kuwa gumu, ngoja tuone kama ulichokiandika kitatokea, maana kila binadamu ana ubongo wake tofauti ni matumizi ya akili yaliyoko kwenye ubongo husika
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yule avunji mkataba sasa kwa kuwa mama kasema wamalizane ataitwa aje na timu inayomuhitaji waweke dau lao auzwe we unadhani Yanga watavunja bila kufuata taratibu ile ni taasisi km ilivyo taasisi ya Rais ndomana hata waliovoomba eneo jana Rais akasema wataangalia wanaliwekaje ingekuwa ni yy anaamua angetoa jibu pale pale
Ebu amka bna umelala[emoji3061]
 
Huu sio wakati wa kupandishana hasira. Suala ni Fei acheze soka kipaji kisipotee na sio kuikomoa Yanga. Yanga wana timu yenye wachezaji wazuri hawana sababu ya kumg'ang'ania iwapo wameshindwana. Wana kikosi kipana chenye wachezaji wenye thamani ya juu wanaolipwa fedha mara 3/4 ya Fei.
 
Kaaazi kweli kweli..
Shida ni kwamba Fei ana options ngumu..achezee Yanga au Hersi aondoke..hii ngumu kumeza
Kuna ulazima gani Fei kucheza Yanga?
 
Feisal hana maajabu kivile wakuu, tusimpambe sana wakati he's just average. Yanga wakubali kuwa kauli ya Raisi ni sheria, japo serikali haitakiwi kuingilia mpira ila kama ni busara sawa tu, japo pia asije kutokea Feisal mwingine tukarudi kule kule.

Bila yeye wananchi wamefika fainali, muhimu kijana apewe nafasi aendelee kutafuta maisha, ila ajue kufuata sheria, soccer is one of those careers ambazo at 35 you're done.
tumalizane nae kwa misingi ya kanuni
 
Ac
Jambo Jambo?

Yanga walilambishwa asali kwa Kisu, Favor zikazidi wakajiona wao ndo wenye nchi na wananchi, kumbe Hangaya ni mtu wa strategy.

Siku zote ukitaka kumtuma Mbwa lazima umtupie mifupa miwili mitatu, kuna ile kauli ambayo si nzuri inayotumika mtaani inasema

“Ukikubali kuolewa Sharti ulale mapaja wazi huku umemanuaaa mwanuuuuu”

Sasa Nimetoka kuongea na Jamaa yangu wa karibu ambaye ni kiongozi Simba SC anasema mazungumzo na Fei toto yamepamba moto, na Dau walilompa simba ni kubwa kuzidi walamba koni na marupurupu kibao, Yanga wakimuachilia (Na lazima wamuachie) rasmi anatimkia wekundu wa msimbazi.

Daaah hapa Chama, Hapa zanzibar finest mbele mslovakia.Maneeenah sijui watatuambia nini.

SIMBA NI WACHOKOZI SIGHNING FEE WALIOMPA FEITOTO NI 612 MILLION

yani Akiwapa Yanga 100 yao na mishahara miezi 3 jumla ya 112 million Dogo anabaki na 500Million ya Chenji
Unaambiwa mshahara watakaomlipa feitoto kwa mwezi Ni balaa unaweza ukawalipa mayele na morisson miezi 3 na chenji Juu.

Eng.Hersi na Yanga Akichimama nchale,Akikaa nchale[emoji23] wamebugia kiazi cha moto wanachezesha midomo tu.

View attachment 2647623

Picha haihusiani na Topic.

Nshomile
Kwasasa
Dar es salaam.
Acha kuota ndoto za kipumbavu mtoa mada.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yule avunji mkataba sasa kwa kuwa mama kasema wamalizane ataitwa aje na timu inayomuhitaji waweke dau lao auzwe we unadhani Yanga watavunja bila kufuata taratibu ile ni taasisi km ilivyo taasisi ya Rais ndomana hata waliovoomba eneo jana Rais akasema wataangalia wanaliwekaje ingekuwa ni yy anaamua angetoa jibu pale pale
Ebu amka bna umelala[emoji3061]
Avunji= Havunji, uache kuchafua lugha.
 
Back
Top Bottom