Tetesi: Yanga Walambishwa Asali kwa Kisu, Feitoto kutimkia Simba SC

Tetesi: Yanga Walambishwa Asali kwa Kisu, Feitoto kutimkia Simba SC

Wamepewa mnofu wa nyama uliotoka jikoni. Kuutema hawawezi wanaishia kutafuna huku wanapuliza hewa nje.
 
Ukiniuliza mimi sioni ulazima..kama mtu ameshaonyesha kutopenda hakuna haja ya kumlazimisha
Kabisa mkuu. Sasa jiulize TFF walishindwa vipi kutatua mgogoro kama huu? Lilikuwa ni suala tu la kuwaambia Yanga huyu mchezaji hana furaha na yupo tayari hata asicheze tena soka kuliko kurudi Yanga, busara ni kusema gharama zenu aondoke siyo kulazimisha arudi kambini. Kumng'ang'ania hakuna maslahi kwa club. Yanga wangetaja gharama halisi, TFF ingempa maelekezo Fei. Mpira ungekuwa kwa Fei.
 
Kweli wewe ni bogus kabisa, na mabogus kama nyie ndio mnaofanya hili suala liendelee kuwa gumu, ngoja tuone kama ulichokiandika kitatokea, maana kila binadamu ana ubongo wake tofauti ni matumizi ya akili yaliyoko kwenye ubongo husika

Unaniita bogus halafu unasema ngoja nilichoandika kitokee unajitambue kweli?

Stupid Fool
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yule avunji mkataba sasa kwa kuwa mama kasema wamalizane ataitwa aje na timu inayomuhitaji waweke dau lao auzwe we unadhani Yanga watavunja bila kufuata taratibu ile ni taasisi km ilivyo taasisi ya Rais ndomana hata waliovoomba eneo jana Rais akasema wataangalia wanaliwekaje ingekuwa ni yy anaamua angetoa jibu pale pale
Ebu amka bna umelala[emoji3061]

Hvi wewe hukuwepo wakati feitoto anasema either yeye abaki yanga au eng.hersi aondoke

sasa kama hersi yupo unadhani feitoto atabaki

anasepa simba
 
Jambo Jambo?

Yanga walilambishwa asali kwa Kisu, Favor zikazidi wakajiona wao ndo wenye nchi na wananchi, kumbe Hangaya ni mtu wa strategy.

Siku zote ukitaka kumtuma Mbwa lazima umtupie mifupa miwili mitatu, kuna ile kauli ambayo si nzuri inayotumika mtaani inasema

“Ukikubali kuolewa Sharti ulale mapaja wazi huku umemanuaaa mwanuuuuu”

Sasa Nimetoka kuongea na Jamaa yangu wa karibu ambaye ni kiongozi Simba SC anasema mazungumzo na Fei toto yamepamba moto, na Dau walilompa simba ni kubwa kuzidi walamba koni na marupurupu kibao, Yanga wakimuachilia (Na lazima wamuachie) rasmi anatimkia wekundu wa msimbazi.

Daaah hapa Chama, Hapa zanzibar finest mbele mslovakia.Maneeenah sijui watatuambia nini.

SIMBA NI WACHOKOZI SIGHNING FEE WALIOMPA FEITOTO NI 612 MILLION

yani Akiwapa Yanga 100 yao na mishahara miezi 3 jumla ya 112 million Dogo anabaki na 500Million ya Chenji
Unaambiwa mshahara watakaomlipa feitoto kwa mwezi Ni balaa unaweza ukawalipa mayele na morisson miezi 3 na chenji Juu.

Eng.Hersi na Yanga Akichimama nchale,Akikaa nchale[emoji23] wamebugia kiazi cha moto wanachezesha midomo tu.

View attachment 2647623

Picha haihusiani na Topic.

Nshomile
Kwasasa
Dar es salaam.
wew ni zezeta na pengine ni hasara ktk familia yako...
 
Kabisa mkuu. Sasa jiulize TFF walishindwa vipi kutatua mgogoro kama huu? Lilikuwa ni suala tu la kuwaambia Yanga huyu mchezaji hana furaha na yupo tayari hata asicheze tena soka kuliko kurudi Yanga, busara ni kusema gharama zenu aondoke siyo kulazimisha arudi kambini. Kumng'ang'ania hakuna maslahi kwa club. Yanga wangetaja gharama halisi, TFF ingempa maelekezo Fei. Mpira ungekuwa kwa Fei.
Umemaliza...TFF walileta mahaba na sio kama washauri na waamuzi..maana kuna mambo mengine yanatatuliwa kwa ushauri tuu...
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Pesa zetu tulizomchangia fei itakuaje? Atazitema au ndio imeisha hiyo
 
Simba imetokea wapi tena jamani 🤔🤔 si walisema ni azam
 
Kama Bi ushungu anadhania Yanga ni wapuuzi asubiri aone, tutwambia Eng. Said kaa pembeni afuu sisi tupeleke shauri la serikali kuingilia michezo afu tuona mwisho wake ni upi.
Yanga ni taasisi inaendeshwa kitaasisi haishinikizwi na mwanasiasa kuamua Jambo lisilo na maslahi. Tff wameshaamua na ndio taasisi inayotambulika kisoka.... Tutamvuta hilo shungi lake hatoamini.
 
Mtoa mada umejiona ulivyo na ndoto za kipumbavu? Kwa hiyo uongozi wa simba ndio ulikupa hizi habari? .
 
Back
Top Bottom