PROSPER 05 JF-Expert Member Joined Oct 14, 2013 Posts 226 Reaction score 217 Sep 19, 2017 #1 Suala la nahodha wa Yanga, Nadir Haroub Ally maarufu kama Cannavaro kukutana na Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Yusuf Manji limezua mjadala mkubwa. Wako wanaoamini kuwa Cannavaro ambaye aliongozana na benchi la ufundi, walikwenda kumjulia hali Manji katika mahakama ya Kisutu. Wako Wengine wamekuwa wakiamini kwamba Wanajangwani hao walikwenda kumlilia shida kwa kuwa mambo yao si mazuri. Wewe Unafikiri nini Kuhusu hili?
Suala la nahodha wa Yanga, Nadir Haroub Ally maarufu kama Cannavaro kukutana na Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Yusuf Manji limezua mjadala mkubwa. Wako wanaoamini kuwa Cannavaro ambaye aliongozana na benchi la ufundi, walikwenda kumjulia hali Manji katika mahakama ya Kisutu. Wako Wengine wamekuwa wakiamini kwamba Wanajangwani hao walikwenda kumlilia shida kwa kuwa mambo yao si mazuri. Wewe Unafikiri nini Kuhusu hili?
Turnkey JF-Expert Member Joined Jul 9, 2013 Posts 7,359 Reaction score 5,837 Sep 19, 2017 #2 Manji anataka kurudi Yanga..
M Magwega wa chiguru Member Joined May 27, 2017 Posts 39 Reaction score 27 Sep 19, 2017 #3 Manji ulikuwa unapendeza na ndevu zako
nkuwi JF-Expert Member Joined Feb 11, 2013 Posts 4,806 Reaction score 5,347 Sep 19, 2017 #4 Magwega wa chiguru said: Manji ulikuwa unapendeza na ndevu zako Click to expand... Kama lacazette au Giroud!
Magwega wa chiguru said: Manji ulikuwa unapendeza na ndevu zako Click to expand... Kama lacazette au Giroud!
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Sep 20, 2017 #5 Yote yaweza kuwa majibu
makahuto Member Joined Aug 27, 2016 Posts 80 Reaction score 26 Sep 20, 2017 #6 Huo ndiyo uungwana, si vibaya watani wao Nao wakawajulia hali Kaburu na Aveva. Binadamu tunapitia mengi Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndiyo uungwana, si vibaya watani wao Nao wakawajulia hali Kaburu na Aveva. Binadamu tunapitia mengi Sent using Jamii Forums mobile app
engine rock JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 1,379 Reaction score 1,394 Sep 20, 2017 #7 Njaa mbaya sana,isikie tu
kamanda mbigi JF-Expert Member Joined Feb 8, 2017 Posts 1,241 Reaction score 1,546 Sep 20, 2017 #8 Njaa.....wachezaji hawajalipwa huu mwezi wa nne
D delako JF-Expert Member Joined Oct 6, 2012 Posts 2,902 Reaction score 1,875 Sep 21, 2017 #9 Mie Nina swali moja tu,wakat yupo ghetto walienda kumuona?????